JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

NINA NDOTO (40)

Ndoto inahitaji uthubutu “Ili uwe mtu ambaye hujawahi kuwa lazima ufanye mambo ambayo hujawahi kuyafanya,” anasema mhamasishaji Les Brown. Kufanya mambo ambayo hujawahi kufanya ni kuthubutu. Kamusi ya Kiswahi Sanifu (TUKI) imetafsiri neno “thubutu” kwamba ni kuwa na ujasiri wa…

Ana kwa ana na Rais Nyerere (3)

Ana kwa ana ni tafsiri ya mahojiano baina ya Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius K. Nyerere, na mwandishi wa gazeti, David Martin. Mahojiano haya yalichapishwa katika Gazeti la Kiingereza, New Internationalist, toleo la Mei, 1973.  David Martin ni…

Dar tunahitaji mapafu ya uhakika tupumue vizuri

Awali ya yote namshukuru Mwenyezi Mungu, Muumba wa Mbingu na Dunia na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana. Kipekee alituumba sisi wanadamu tumiliki na kuvitawala vyote: majini, nchi kavu na angani. Ndiyo maana baadhi ya mataifa yenye nguvu kiuchumi yanathubutu kwenda kuchunguza…

Dini ya Uislamu ni tabia njema

Umepata kujiuliza vipi utamtambua Muislamu anayeutekeleza Uislamu? Unamtambua Muislamu kwa kuvaa kanzu na kofia? Yumkini, lakini kuvaa kanzu na kofia si sifa bainifu ya kumtambua Muislamu kwa kuwa kanzu na kofia ni vazi tu lenye asili ya jamii mbalimbali kwa…

Bandari: Rais Magufuli ameweka historia (2)

Novemba 5, mwaka huu Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Pombe Magufuli inatimiza miaka minne madarakani. Katika kipindi hicho kifupi, serikali imefanya mabadiliko makubwa katika mfumo wa uendeshaji wa bandari za Tanzania na imeleta maendeleo makubwa hadi…

Bei ya pamba yawakatisha tamaa wakulima Simiyu

Wakulima wa pamba wameonya huenda zao hilo likatoweka iwapo serikali haitaacha kupanga bei yake isiyozingatia uhalisia na vigezo vya soko la dunia. Wamesema uingiliaji huo wa bei unawaongezea umaskini, kwani katika msimu unaoelekea ukingoni kwa sasa, wamelazimika kuuza pamba yao…