JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

NINA NDOTO (22)

Kupuuza ubunifu ni kuua ndoto   Kila mmoja wetu amezaliwa na ubunifu ndani yake, jambo hili lipo wazi hasa pale tunapowatazama watoto wadogo. Tukiwa watoto tunaweza kufanya mambo mengi na kujaribu vitu vingi. Watoto hutengeneza vitu kwa kutumia vifaa vinavyozunguka…

Dawasa inavyoimarisha miundombinu ya maji

Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASA) imewakosha viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es Salaam kwa namna inavyotekeleza ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015. Dawasa inatekeleza miradi mikubwa ya maji katika Mkoa wa Dar es…

Butiku: Ni miaka 23 ya Nyerere Foundation

“Jengo hili litakuwa na ofisi za kudumu za Taasisi ya Mwalimu Nyerere, maktaba ya taasisi itakayotoa fursa kwa Watanzania na watu wengine wote kusoma maandiko na nyaraka mbalimbali alizoandika Mwalimu Nyerere, pamoja na shughuli za uwekezaji za wabia, hususan hoteli…

Ndugu Rais kwa hili mwanao ninakuunga mkono

Ndugu Rais umewaita wafanyabiashara Ikulu tambua makundi mengine nayo yanasubiri uwaite. Uamuzi wako wa kutumbua papo kwa papo uliwajengea baadhi matumaini. Ninakuunga mkono. Lakini uliowabadilishia wana tofauti gani na uliowaondolea? Mojawapo lililomuondoa Mwigulu Nchemba si Lugumi Enterprises? Mbadala wake kafanya…

Bandari hailali, chukua mzigo wako saa 24/7

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kushirikiana na wadau wake wa bandari imeendelea kuboresha na kurahisisha utoaji huduma kwa wateja wake katika Bandari ya Dar es Salaam. Uboreshaji huo unaendelea kufanyika kwa sababu bandari ni lango kuu la…

Serikali hazina uwezo kumaliza matatizo yote

Narudia mada ambayo hunikosesha usingizi mara kadhaa kila mwaka: elimu. Mahsusi ni ugumu wa kuhimiza jamii kuchangia uboreshaji elimu. Ni suala ambalo nalikabili kila niwapo kazini kwa sababu ya nafasi yangu kama msimamizi wa asasi isiyo ya kiserikali inayogharimia mahitaji…