Category: Makala
Yah: Mheshimiwa Rais watafute kina Magufuli
Natuma salamu nyingi sana kwako lakini najua inawezekana umekaa katika kiti na umeshika tama ukitafakari mambo yanavyokwenda, unaona mahali ambapo mambo yamekwama na kuna mteule wako yupo yupo, kama nakuona unampa muda wa kujitafakari ajue unataka nini lakini anashindwa, unamtumia…
Gamboshi: Mwisho wa dunia (2)
Wiki iliyopita makala hii iliishia katika aya iliyosema: “Yule kizee aliyeniweka mlangoni alikuja akataka kunichukua tena anipeleke kusikojulikana. Nilikataa na akawa ananilazimisha nikubaliane naye. Hapana jamani, dunia ya Gamboshi ndiyo hasa ninayopenda kuishi, maisha ya maajabu ndiyo kipenzi cha roho…
NINA NDOTO (21)
Tumia kipaji chako Kipaji ni kitu chochote unachoweza kukifanya kwa urahisi bila kutumia nguvu nyingi. Kimsingi kipaji huwa hakichoshi. Kuna watu wana vipaji vya uandishi, uongozi, kuimba, kucheza muziki, kuchora, kuigiza, kushona, kupamba, kupika, orodha ni ndefu, kwa kutaja…
Caspian, Tancoal zavunja mkataba
Kampuni ya Tancoal inayochimba makaa ya mawe wilayani Mbinga, mkoani Ruvuma imekubali kuilipa Kampuni ya Caspian shilingi bilioni 18.4 na kuvunja mkataba baada ya fedha hizo kuzuiliwa miaka miwili kutokana na utata wa kimasilahi. Uchunguzi uliofanywa na Gazeti la JAMHURI…
TPA: Mteja ni mfalme
Bandari ni lango kuu la biashara kwa Tanzania na nchi zote zinazotumia bandari zetu hususan Bandari ya Dar es Salaam ambazo; ni Uganda, Rwanda, Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Zambia, Zimbabwe, Malawi, Sudan Kusini na Comoro. Kutokana na umuhimu…
Ndugu Rais hekima ya mwanadamu ni kuchagua ya kusema
Ndugu Rais imeandikwa, usisemeseme hovyo ewe mdomo wangu bali uvilinde vilivyomo ndani yangu. Maneno mabaya yanachafua moyo na roho pia, kinywa changu ukayatangaze mema yampendezayo Mungu. Hekima ya mwanadamu huchagua ya kusema. Tuitawale midomo yetu ili isitugombanishe; tuitawale midomo yetu…




