Category: Makala
Tumbaku inavyosababisha jangwa Tanzania
Kupatikana teknolojia ya kukausha tumbaku kwa kutumia nishati jadidifu inayotokana na jua nchini China ni jambo la kuigwa na wakulima wa tumbaku kutoka katika mikoa inayolima tumbaku hapa nchini ili kuinusuru misitu inayoteketea. Teknolojia hiyo iliyogunduliwa katika nchi za China…
Demokrasia na haki za binadamu
Demokrasia ni uhuru na uwezo wa watu katika kutawala mwenendo na mambo yote yanayohusu maisha yao kwa kutumia vikao vilivyowekwa kikatiba na kisheria. Demokrasia na haki za binadamu si misamiati mipya kwa Watanzania kuelewa na kutumia katika harakati zao za…
Yah: Wenye ualbino ni wenzetu
Kuna wakati natamani niandike waraka wangu kama ule wa zamani, kwa kutumia lugha yetu, lakini naona kama dunia ya leo imebadilika kiasi kwamba hampendi mambo mengi zaidi ya mambo, vipi? Huwa sipendi salamu hizi. Leo nimeamka nikiwa na hisia tofauti…
Gamboshi: Mwisho wa dunia (1)
Gamboshi ni Kijiji kilichopo katika Wilaya ya Bariadi, mkoani Simiyu. Kijiji hiki kinasifika kwa uchawi kila kona ya Tanzania. Mtunzi wa hadithi hii, Bugulugulu Duu, ameamua kuvaa uhusika wa hadithi hii. Anaelezea kuhusu mazingira na mazingara ya uchawi katika Kijiji cha…
NINA NDOTO (20)
Umri usiwe kikwazo cha kutimiza ndoto Kuwa na umri fulani si kigezo kuwa huwezi kutimiza ndoto zako. Umri ni namba tu. Bila kujali kama wewe ni mzee au mdogo kiasi gani, bado unaweza kutimiza ndoto zako. Bado unayo nafasi…
Elimu ni mkombozi wa ulemavu wa fikra
Ulemavu wa fikra umejificha. Wakati mwingine ni vigumu kuutambua au kwa vile ulemavu huu una nguvu na unaweza kutupumbaza wote, ni jambo ambalo linachukua tafakuri na kujiuliza maswali yasiyokuwa na majibu. Mfano, sisi Waafrika kuwa na majina ya Kizungu na…




