JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Tujifunze kutunza muda

Faraja ya Raph W. Sockman inasema, “Msingi wetu wa matumaini ni kwamba, daima Mungu hamchoki mwanadamu.” Katika makala ya leo nitazungumzia matumizi ya muda na vikwazo mwanadamu anavyokumbana navyo katika safari yake ya maisha. Ninaomba kukuuliza swali hili: Kama leo…

Hivi hadi leo hatujamwelewa Magufuli?

Kwanza naomba nitumie fursa hii kuungana na wazazi, ndugu, jamaa na Watanzania wote kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na watoto wetu – wanafunzi wa Shule ya Lucky Vicent ya jijini Arusha – katika ajali iliyotokea Karatu. Taarifa ya awali iliyotolewa…

Nakutambua, nitambue

Jina langu ni Nani. Umri wangu ni zaidi ya karne ishirini na moja. Nimeumbwa kwa udongo na maji. Ninaye ndugu yangu, majirani na marafiki. Nimejaaliwa kupata watoto, wajukuu, vitukuu na vilembwe. Niko ulimwenguni. Nimekula chumvi nyingi na kuona mambo mengi….

Yah: Mei Mosi sherehe ya utumishi au kusubiri ongezeko la mshahara

Leo naandika waraka huu kwa mara ya kwanza kuwakumbuka akina pangu pakavu kauka tukuvae, kila mwaka tarehe hii ya mwanzo wa Mei  huwa ni hatima ya furaha ya mfanyakazi yeyote, wengi huishiwa na amani na furaha na wapo ambao hujaa…

Mwanamke aliyetelekezwa na mume afanye nini kisheria

Kutelekezwa ni pamoja na kunyimwa huduma za muhimu ambazo kama mke alistahili kupata. Huduma muhimu ni kama chakula, mavazi, makazi, matibabu, hela ya kujikimu kwa matumizi ya kawaida ya mwanamke, pamoja na kila hitaji ambalo kama mwanamke alitakiwa kulipata. Ifahamike…

Mheshimiwa Kairuki uhakiki haujakamilika

Mwishoni mwa juma lililopita, Rais John Magufuli, alipokea taarifa ya uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma wakati wa hafla iliyofanyika Chuo Kikuu cha Dodoma. Ropoti iliwasilishwa kwake na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma…