Category: Makala
Mheshimiwa Kairuki uhakiki haujakamilika
Mwishoni mwa juma lililopita, Rais John Magufuli, alipokea taarifa ya uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma wakati wa hafla iliyofanyika Chuo Kikuu cha Dodoma. Ropoti iliwasilishwa kwake na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma…
‘Woga ndio silaha dhaifu kuliko zote’
Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi, amezungumza jambo la maana sana. Amewataka wananchi wasilalame tu, badala yake wachukue hatua dhidi ya ukiukwaji wa haki pale unapojitokeza. Amewataka watumie vyombo kama Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora…
Ndugu Rais wengine tuombe tusije kukumbukwa
Ndugu Rais niliugua sana kifuani mwangu nilipokutafuta nami nisikuone siku ile Watanzania tulipokuwa tunamuaga Sir George Clement Kahama katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Uliikosa fursa ya kuzisikia busara na hekima za Rais Mstaafu Ali…
Tunapoikaribisha laana …
Nachukua fursa hii kutoa pole kwa ndugu zetu waliowapoteza wapendwa wao, Jeshi la Polisi, nchini na Taifa kwa ujumla. Nasikitika kuona nchi yangu Tanzania, nchi iliyosifika kwa kuwa na upendo, amani na utulivu, hivi sasa imeanza kuwa historia kutokana na…
Lazima Chama Kiwasemee Watu
Hotuba iliyotolewa kwenye mkutano wa Uganda People’s Congress, tarehe 7 Juni, 1968 Chama sicho chombo cha Serikali. Serikali ndiyo chombo ambacho Chama hujaribu kutekelezea matakwa ya watu na kuyahudumia masilaha yao.” … Bwana Rais, Mabibi na Mabwana: Serikali ni jambo…
Hotuba ya Rais Magufuli uzinduzi treni ya umeme
Sehemu ya hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyoitoa wakati wa uzinduzi wa reli ya kisasa, Aprili 13, 2017 Pugu jijini Dar es Salaam. Inakadiliwa kuwa wakati wa ujenzi wa reli hii takriban watu 600,000 watapata…