Category: Makala
Yah: Muungano ni kwa maendeleo si utumwa
Marekani ni muungano wa majimbo makubwa mengi ambayo yangeweza kuwa nchi kama ilivyo kwa nchi ndogo za Afrika, lakini majimbo yale ndiyo yanayofanya taifa moja la Marekani lenye nguvu duniani kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni, kiteknolojia na kadhalika. Siri kubwa ya mafanikio ya…
Haki na batili zinavyojenga figisufigisu nchini
Kumbukumbu zangu hunikumbusha na kunielekeza kwamba vitu vina jozi, maumbo yana pande mbili na majambo yana sehemu mbili – ziwe zinafanana au hazifanani, ziwe hasi au chanya, jibu kamili ni mbili. Mathalani, kuna mbingu na ardhi, usiku na mchana, ukweli…
Elimu ni ufumbuzi wa changamoto za uongozi, maendeleo
Tunaposikia kauli za viongozi kuwa uongozi wa nchi ni changamoto kubwa sana, siyo rahisi kwa wengi wetu kuelewa. Haihitaji kufanya utafiti wa kina kukubali ukweli huo. Uongozi ni mzigo mkubwa, alisema Mwalimu Julius Nyerere. Akifafanua, alisema rais anapokuwa pale Ikulu…
2017 mwaka wa machungu
Nitumie fursa hii kuwatakiwa Heri ya Mwaka Mpya Watanzania wote, ikiwa ni pamoja na kuwapa pole wale wote waliopatwa na misukosuko ya hapa na pale. Pamoja na salamu hizo za Mwaka Mpya, nasikitika kuanza mwaka huu mpya wa 2017 kwa…
Mgogoro wa Israel na Palestina -2
Katika sehemu ya kwanza ya makala hii, wiki iliyopita tulishuhudia eneo la Jeruzalem lilivyokuwa likikaliwa na Wafilisti na Wayahudi bila shida. Leo tunakuletea sehemu ya pili, inayoendeleza simulizi za chimbuko la mgogoro wa Waisrael na Wapalestina. Endelea… Kwa mujibu wa…
RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 28
Wafanyabiashara pasua kichwa 519. Misamaha ya kodi inayotolewa na IPC imekuwa ikitoa mwanya wa kuvuja kwa mapato ya serikali. Baadhi ya wawekezaji wamekuwa wakiomba misamaha kwa vitu vingi kuliko wanavyohitaji kukamilisha miradi yao. Kwa mfano pale ambapo mwekezaji alihitaji…