Category: Makala
Fidel Castro katoa mchango muhimu Afrika; tuisome historia
Ukisikiliza sehemu kubwa ya maoni ya vyombo vya habari vya nchi za Magharibi juu ya kiongozi wa Cuba Fidel Castro, utaafiki kuwa hana mchango wowote wa maana kwa binadamu wenzake. Inahijati kujikumbusha kidogo sehemu ya historia ya ukombozi wa Bara…
Rais Magufuli bado hujafunguliwa ukurasa wa jela ukausoma
Nilimsikiliza Rais John Pombe Magufuli aliposema na Askari Magereza pale Ukonga, pia nilikuwako gerezani Ukonga wakati Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipotembelea gerezani na kutoa kauli tete “pasua raha ndani ya taabu.” Kikwete hakuwakusudia wafungwa mabaya isipokuwa aliukumbuka usemi walioutumia wapiganaji…
Gavana: Amana za mabenki trilioni 15.7
Dar es Salaam. Sekta ya fedha nchini hasa mabenki yametakiwa kubuni namna mpya ya kuwafikia wateja wengi zaidi ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuongeza amana, maana katika kila shilingi 100 inayotolewa na Benki Kuu, ni shilingi 40, ndiyo inaingia…
Afrika bara kubwa lenye changamoto nyingi
Kijiografia Bara la Afrika ni miongoni mwa Mabara sita yanayo unda Ulimwengu huu likiwa ni la pili kwa ukubwa wa maili za mraba zipatazo 11,700,000 sawa na asilimia 22% za eneo lote la dunia. Bara hili la Afrika linafahamika kama…
Ndugu Rais, Kassim Majaliwa tumaini pekee lililobakia!
Ndugu Rais, kwa unyenyekevu mkubwa tunakuja mbele yako kumshukuru Mwenyezi Mungu aliyekuongoza vema mpaka ukatuletea Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wetu! Kwa hili baba ubarikiwe sana! Umakini wake mtu huyu umeyarudisha matumaini ya Watanzania wengi waliokuwa wameanza kuichoka awamu ya…
Mchango wa Castro katika ukombozi wa Afrika
Ulimwengu umeshtushwa na kifo cha Fidel Castro Ruz, aliyeongoza mapinduzi ya Cuba. Hata hivyo, wachache walishangazwa, kwani Aprili, mwaka huu Castro aliuambia Mkutano Mkuu wa Chama cha Kikomunisti kuwa wakati wake umefika, hasa kwa vile alikaribia umri wa miaka 90…