Category: Makala
Shirika la Fedha la Kimataifa siyo Wizara ya Fedha ya Kimataifa
Hii ni sehemu ya hotuba iliyotolewa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kwenye kilele cha Sherehe za Mei Mosi, 1995 mjini Mbeya. Kwenye sehemu iliyopita, Mwalimu alisema mtu yeyote mwenye akili akikupa mawazo ya kipumbavu na wewe una akili na unajua ni ya kipumbavu na ukayakubali, atakudharau. Alielezea hisia zake juu ya uuzwaji holela wa viwanda na mashirika yaliyokuwa yakijiendesha kwa faida. Endelea…
Nchi moja mataifa mawili
Ndugu zangu, Watanganyika na Wazanzibar, natumaini kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma mwenye kutoa neema kubwa na ndogo hamjambo na mnaendelea na mapambano ya kulijenga taifa lililobarikiwa kuliko taifa lolote jirani.
JE, KESHO YA MJASIRIAMALI INATABIRIKA?
Mara nyingi ninapochambua masuala haya ya Biashara na Uchumi huwa ninakwama kupata maneno yaliyozoeleka katika Kiswahili ili kuelezea dhana fulani fulani. Hii haimaanishi kuwa Kiswahili hakina maneno hayo, la hasha! Isipokuwa kutumia maneno hayo kunaweza kuwapoteza wengi na kutoeleweka kirahisi.
Tanzania iwe kwa Watanzania kwanza
Chama cha Tanganyika African National Union (TANU) kilichodai Uhuru wa nchi hii kilikuwa na ahadi nzuri. Baadaye Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilizirithi.
Matatizo ya sekta ya vitabu Tanzania
Kama tujuavyo, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeanza kutekeleza mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), huku Taifa likiwa na matatizo makubwa ya kuwapo kwa vitabu vibovu shuleni. Ni matatizo yaliyotokana na sera mbovu ya vitabu Tanzania.
Kumbe ndio maana trafiki wanachukiwa
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikisikia na kuona jinsi wananchi wengi katika maeneo mbalimbali ya nchi hii, wanavyowalalamikia askari polisi wa kitengo cha usalama barabarani (trafiki). Siyo siri ndugu zetu hao wanachukiwa na wananchi wengi.