Category: Makala
MISITU & MAZINGIRA
Misitu inavyokinufaisha Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ (1)
Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi ni mojawapo za wilaya chache Tanzania Bara zilizobahatika kuwa na misitu ya asili ya kutosha ikilinganishwa na maeneo mengine nchini. Pamoja na kuwa na rsilimali misitu ya kutosha yenye aina za miti ya thamani sana mfano, mipingo (Dulbergia melanoxylon), Kilwa ni kati ya wilaya maskini nchini.
Mpunga, mahindi, miwa kuikomboa Tanzania
Leo nataka kujikita katika suala la Majadiliano ya Ushirikiano kwa Manufaa ya Wote Smart Partnership Dialogue, ambayo ni dhana ya kiubunifu na msingi wake ni kanuni ya ‘Stawi Jirani Yangu kwa Manufaa Yetu Sote’.
Maghoba: Tanzania isipuuze vitisho vya Kagame – Hitimisho
Wiki iliyopita, sehemu ya kwanza ya makala haya pamoja na mambo mengine, mwanajeshi na mbunge mstaafu, Frank Maghoba, alieleza mtazamo wake kutokana na kauli ya vitisho inayodaiwa kutolewa na Rais wa Rwanda, Paul Kagame dhidi ya Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete. Sasa endelea na sehemu hii ya mwisho…
Chanzo cha msuguano
Inaelezwa kuwa msuguano huo baina ya Rwanda na Tanzania ulianza kujitokeza siku chache baada ya kumalizika kwa kikao cha viongozi wa Nchi za Maziwa Makuu, kilichohudhuriwa pia na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, chini ya uenyekiti wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni.
Sitta aache kumchafua Edward Lowassa
Siku zote napenda kufuatilia siasa za Tanzania. Ni siasa hizi za kuchafuana. Siasa za kuchafuana si ngeni katika jamii yetu. Mtu akimwona mwenzake kazidi kwa jambo jema katika jambo fulani, basi atamchafua ili jina lake lionekane kuwa si kitu.
FASIHI FASAHA
Miaka 50 hakuna maendeleo! – 2
Wiki iliyopita katika makala haya nilikumbusha vitu vinne: Ardhi, watu, siasa safi na uongozi bora jinsi vilivyoweza kuleta maendeleo ya nchi na watu katika elimu, afya, siasa na uchumi, pamoja na kujenga umoja na mshikamano wa Watanzania.
Tunahitaji ujasiriamali wa mnyororo
Wiki iliyopita wajasiriamali wawili marafiki zangu wa muda mrefu walinitembelea ofisini, mtaa wa Uhuru, mjini Iringa na tukapata wasaa wa kuzungumza kwa kirefu kuhusu mienendo ya biashara katika mazingira ya sasa.
- Singida yatumia zaidi ya Trilioni 1.7 kufungua fursa za maendeleo
- Dk Jingu aitaka jamii kuwatunza wazee ikiwemo kupinga vitendo vya ukatili dhidi yao
- Askofu Dk Shoo akemea upotoshaji mchango wa Rais Samia kwa taasisi za kidini
- MNEC Ndele, ajigamba kwa kujenga Ofisi za CCM
- Tume ya Haki za Binadamu yawahamasisha wananchi kuhusu haki na Uchaguzi Huru
Habari mpya
- Singida yatumia zaidi ya Trilioni 1.7 kufungua fursa za maendeleo
- Dk Jingu aitaka jamii kuwatunza wazee ikiwemo kupinga vitendo vya ukatili dhidi yao
- Askofu Dk Shoo akemea upotoshaji mchango wa Rais Samia kwa taasisi za kidini
- MNEC Ndele, ajigamba kwa kujenga Ofisi za CCM
- Tume ya Haki za Binadamu yawahamasisha wananchi kuhusu haki na Uchaguzi Huru
- CRDB yamkabidhi Rahabu Mwambene zawadi ya gari aina ya Ford Ranger XLT
- Mbaroni kwa tuhuma za kushambulia hadi kumuua Enock Mhangwa Geita
- RC Kilimanjaro aongoza mamia ya watu kuaga miili 36 waliopoteza maisha kwenye ajali Same
- SADC yaitaja Tanzania kinara utekelezaji ajenda ya nishati safi ya kupikia
- REA yaja na mpango kabambe wa kuwezesha ujenzi wa vituo vya mafuta vijijini
- Rais Samia anapenda kufanya kazi na viongozi wa dini – Dk Biteko
- Uwekezaji unavyoibadilisha Katavi, kutoka rasilimali hadi huduma kwa wananchi
- CUF: Hatutosusia Uchaguzi Mkuu, badala yake tutashiriki kikamilifu
- P Diddy aendelea kusota rumande hadi Oktoba 3
- Israel, Hamas watofautiana usitishaji wa vita Gaza