JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Tatizo la Kusini wanaamini wanaonewa

Ninatoka kusini mwa Tanzania  mkoani Mtwara. Matukio yaliyotokea humo hasa kuanzia Desemba 2012 hapana shaka yamewashtua na kuwashangaza watu wengi.

Tuache kufyatua maneno

Habari yenye kichwa cha maneno, “Waziri achafua hewa mazishi ya Padri Z’bar” iliyochapishwa Februari 21, 2013, ilinikumbusha agizo la Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa (pichani chini), aliyetuasa akisema “Kama hujafanya utafiti, huna haki ya kuzungumza”.

Wafanyakazi ‘wazembe’ ni msiba kwa ujasiriamali

 

 

Mwishoni mwa Februari, wakati nikisafiri kutoka Wilaya ya Mvomero kuelekea Kilombero, nilipofika mjini Morogoro, niliingia kwenye basi linalofanya safari kati ya Morogoro na Ifakara.

NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Tushirikishe watu katika maendeleo

“Kama maendeleo ya kweli ni kuchukua mahali, watu wanapaswa kushirikishwa.”

Hii ni sehemu ya maneno ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere katika kitabu chake cha Uhuru na Maendeleo, 1973.

Uchumi ndiyo lugha ya Afrika Mashariki

Wiki mbili zilizopita nimekuwa nikiandika waraka wa kiuchumi kwa wafanyakazi. Kwa ujumla wake, waraka huo utaendelea hadi sehemu ya 10. Kutokana na urefu huo, nimepanga kutouleta kwa mfululizo wa wiki zinazofuatana, badala yake nitakuwa ninauleta kwa wiki tofauti, mwaka huu.

Tunataka Katiba halisi  ya kudumu

Kama tujuavyo, hivi sasa Taifa letu liko katika mchakato wa kutafuta Katiba mpya ya nchi.

Katiba tunayotafuta sasa itakuwa nafasi ya katiba ya kudumu iliyoanza  kutumika mwaka 1977. Katiba ya nchi tunayotaka kuachana nayo imedumu kwa mbinde kwa sababu ina kasoro nyingi zilizoanza kupigiwa kelele tangu mwaka 1992, wakati Tanzania ilipoingia kwenye mfumo wa vyama vingi.