Category: Makala
Waraka wa uchumi kwa wafanyakazi (2)
Wiki iliyopita niliandika sehemu ya kwanza ya waraka huu. Pamoja na mambo mengine, nilichambua kwa kina sababu moja kati ya tatu zilizonisukuma kuwaandikia waraka huu.
Waziri anapong’ang’ania wizara iliyomshinda
Dk. Shukuru Kawambwa ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi. Kwa kusema kweli hajafanya lolote zuri la kumsifia tangu alipoteuliwa kuwa waziri.
ASKOFU NZIGILWA:
Moyo wa binadamu uwanja wa mapambano
Wiki iliyopita, JAMHURI imefanya mahojiano maamulu na Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Eusebins Nzigilwa, ambaye ametoa mtazamo na ushauri wake kuhusu matatizo mbalimbali yanayoikabili nchi.
Utawala Bora hutokana na maadili mema (5)
Mwaka 1980 Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) , walikuwa na Mkutano wao Mkuu wa Chama katika jeshi. Mkutano ule wa kihistoria ulisimamiwa na Kamisaa Mkuu wa JWTZ na ambaye alikuwa katika Sekretarieti ya Chama – upande wa Oganaizesheni, Hayati Kanali Moses Nnauye, akisaidiwa na kada wa chama, Luteni Jakaya Kikwete Makao Makuu ya Chama.
Nukuu ZA WIKI
Nyerere: Wafanyakazi wasinyonywe, waheshimiwe
“…wafanyakazi wa Tanzania wamelindwa wasinyonywe na matajiri wao, watu binafsi, na hata mashirika ya umma. Kila mfanyakazi apate heshima yake kama binadamu.”
Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere aliyasema haya kukemea unyonyaji dhidi ya wafanyakazi.
Waraka wa uchumi kwa wafanyakazi
Leo nina neno kwa wafanyakazi waliopo katika sekta mbalimbali za umma na za binafsi. Nimeamua kuandika waraka huu wa uchumi kwa wafanyakazi kutokana na sababu kuu tatu. Mosi, uwepo wa mbinyo wa kuongezeka kwa gharama za maisha ikilinganishwa na vipato halisi vya wafanyakazi.