Category: Makala
ADC: Tutajipima Uchaguzi Mkuu 2015
*Limbu atamba kudhibiti makundi
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) vikitamba kung’ara katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka 2015, Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesema muda wa miaka mitatu uliobaki unatosha kujipanga kutwaa uongozi wa nchi.
Serikali isipuuze, udini upo, iudhibiti – 3
Wote tunakubali kuwa elimu ni ufunguo wa maisha. Kumnyima mtu au kundi moja ni sawa kumnyima mtu au kundi hilo maendeleo ya maisha yeke au yao katika uchumi madaraka, ajira na tija nyinginezo.
Je, ushirikina unafanikisha biashara?
Mapema mwaka huu nilikuwa miongoni mwa maelfu ya wakazi wa mji wa Iringa, waliokwenda kushuhudia sakata la misukule katika Frelimo, iliyodaiwa kuwa kwenye nyumba ya mama mmoja mfanyabiashara maarufu mjini hapa. Licha ya kufika mapema sana eneo hilo lakini sikubahatika kuona misukule!
JKT ni mtima wa Taifa (5)
JKT ni mtima wa Taifa (5)Napenda kukumbusha wahusika kuwa wakati utaratibu wa kuwaita vijana kwa mujibu wa sheria ukiandaliwa katika ile (White Paper No. 2 ya mwaka 1966), katika ibara ya 9, kulianishwa masomo ya kuwafundisha vijana wote katika JKT.
Tamaa ya utajiri yachochea ushirikina migodini Geita
“Ushirikina huku Geita ni mkubwa, wachimba madini wengi wanaamini hawawezi kufanikiwa bila kufanya ushirikina, ndio maana kuna vitendo vya mauaji ya alibino na kukata viungo vyao.”
Hiyo ni kauli ya mchimbaji mdogo wa dhahabu katika mgodi wa Nyarugusu alipozungumza na JAMHURI hivi karibuni, kuhusu ukubwa wa imani za ushirikina kwa wachimbaji wadogo wa madini mkoani Geita.
Kwa hili nasimama na David Cameron
NAANDIKA makala hii nikiwa jijini Manchester kwa shughuli maalumu ya kimichezo, nikiwa mdau kiasi. Naandika nikiwa bado na tafakari nzito na hofu juu ya hali ya vyombo vya habari vya Uingereza huko tuendako.
- Rais Samia, hili la msamaha wa faini za ankara za maji, umekonga nyoyo za wananchi
- MOI kutoa matibabu bure siku saba Mbagala
- Jafo aonya vijana kunywa pombe kupita kiasi
- Runali chagawa pembejeo 3000 kwa wakulima zao korosho Nachingwea
- Uboreshaji bandari ya Karema unaofanywa na Serikali kupitia TPA wavutia wawekezaji
Habari mpya
- Rais Samia, hili la msamaha wa faini za ankara za maji, umekonga nyoyo za wananchi
- MOI kutoa matibabu bure siku saba Mbagala
- Jafo aonya vijana kunywa pombe kupita kiasi
- Runali chagawa pembejeo 3000 kwa wakulima zao korosho Nachingwea
- Uboreshaji bandari ya Karema unaofanywa na Serikali kupitia TPA wavutia wawekezaji
- Abiria 1,200 wanusurika ajali ya treni mjini kwenda Pugu, 10 wakimbizwa hospitali
- Ubovu wa barabara Arusha, kikwazo cha maendeleo, usalama na hadhi ya Jiji la Kitalii
- Rais wa Finland kuanza ziara kesho nchini kwa mwaliko wa Rais Samia
- Rais Samia aongoza Watanzania mazishi ya hayati Cleopa Davis Msuya wilayani Mwanga
- Dk Biteko awasili nchini Morocco kwa ziara ya kikazi
- Siasa zisiingizwe JWTZ
- Rais Samia aongoza Watanzania maziko ya Cleopa Msuya
- Serikali yadhamiria kuboresha mazingira ya uwekezaji na biashara sekta ya utalii
- Msajili Hazina: Ni wakati wa Tanzania kunadi fursa za uwekezaji kimataifa
- CHADEMA mnaanza kulipa ghrama ya kutoambilika
Copyright 2024