JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Mraibu aanzisha asasi kuikomboa jamii dhidi ya dawa za kulevya

*Said ni aliyekuwa mraibu kwa miaka 21. * Amgeukia Rais Samia, Wizara ya Afya na Ofisi ya Waziri Mkuu kuzishika mkono asasi changa ili kuokoa waraibu hasa vijana Na Mwamvua Mwinyi, JakhuriMwdia, Pwani NACHUKIA dawa za kulevya, najutia kupoteza muda…

Tujenge desturi ya kulipa kodi kwa maendeleo ya Taifa letu

Tukiwa tunaelekea kupokea bajeti mpya ya serikali ya 2024/2025 ikijadiliwa bungeni kwa mujibu wa sheria, pia nasi katika jamii tukieendelea kuifuatili kwa ukaribu na umakini mkubwa. Hii haimaanishi kwamba suala hili ni la wanasiasa sio kwakuwa bajeti ndio taswira na…

Malezi na makuzi mabovu yalivyokiini cha ukatili katika jamii

Na Daniel Limbe,Geita “Samaki mkunje angali mbichi” ndivyo wasemavyo wahenga wakimaanisha mtoto mwema,mwenye hekima, busara na maarifa huandaliwa kingali mdogo. Maneno hayo yanauweka bayana ukweli wa maisha ya mwanadamu katika malezi na makuzi ya mtoto hata anapokuwa mtu mzima. Ukweli…

Mzeituni mmea tiba uliotajwa kwenye vitabu vitakatifu

MZEITUNI ni mti unaostawishwa katika mataifa mbalimbali duniani. Pamoja na kupatikana kwenye nchi nyingi, lakini Israel ambayo ni nchi takatifu, ni miongoni mwa mataifa yanayostawisha kwa wingi zaidi mmea huo. Mti huu ni ule uliotajwa mara kadhaa ndani ya vitabu…

Majaliwa : Rais Dk Samia amedhamiria kufikisha maendeleo kwa wote

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuhakikisha wananchi wote wanapata maendeleo na huduma mbalimbali za msingi kwa wakati na karibu na maeneo yao ya makazi. Maendeleo hayo yatakuwa dhahiri na endelevu endapo…

Jaji Mwangesi: Vyombo vya habari ni nguzo muhimu katika ukuzaji wa maadili ya viongozi

Na Stella Aron,JamhuriMedia, Dar es Salaam Kufuatia marekebisho ya Katiba mwaka 1995, Serikali iliianzisha Sekretarieti ya Maadili chini ya Ibara ya 132 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977. Sekretarieti ilianza kazi zake rasmi Julai, mwaka 1996…