Category: Makala
Ndugu Rais, milioni 350 mbona chache?
Ndugu Rais, watuhumiwa wa makosa ya uchochezi, tukio lililotokea wakati wa uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kinondoni, ambao pia ulisababisha kuuawa kwa binti yetu, Akwilina Akwilini, msiba wake ambao hautakuja kusahaulika katika nchi hii, wamepatikana na hatia na wamehukumiwa. Tuhuma…
Kwa nini Waislamu nchini wawe chini ya Bakwata? (2)
Katika sehemu ya kwanza ya makala hii nilieleza kuwa Bakwata ni chombo cha kudumu kilichoundwa mwaka 1968 kuratibu, kusimamia na kuongoza shughuli zote za Waislamu nchini Tanzania (Tanzania Bara) kwa lengo la kutekeleza wajibu wa Waislamu wa kuendeleza na kuimarisha…
Ufanye nini unaposababishiwa hasara?
Kama utasababishiwa hasara yoyote, basi mtu anayekusababishia hasara hiyo ana wajibu kisheria kukufidia, isipokuwa kama umeamua kusamehe, au kama hasara hiyo ilitokana na mchakato ambao haukuwa halali kisheria. Katika kufafanua suala hili, makala ya leo itajikita katika Sheria ya Mikataba…
Kama umemsahau Mungu, umejisahau mwenyewe (3)
Maisha ya Mkristo ni maisha ya mapambano kwa saa 24. Ukristo si lelemama. Ukristo ni vita. Ukristo una gharama. Hakuna Ukristo laini. Hakuna Ukristo wa kununua wala kuuza. Kumbuka kwamba utakatifu wako hauko kwenye vyeti vyako vya ubatizo. Utakatifu wako…
AROBAINI NI MWARUBAINI (3)
Je, unashangaa? Ishi maisha ya kushangaa na kuchukua hatua. Dawa ya makosa yetu ni kufanya toba, kufunga, ukarimu na kusali. Matendo hayo yote yanaanza na kushangaa. Ni matendo ambayo Wakatoliki wanapaswa kufanya kipindi cha siku arobaini. Je, unashangaa mahali ulipo?…
Kuzuia gongo ni kuenzi ukoloni
Wananchi makabwela wapika gongo wamezoea kuwakimbia polisi na viongozi wa dola. Si jambo la kawaida kwa wananchi wanaojihusisha na shughuli hiyo kuwa kwenye hali ya amani pindi wanapozingirwa na hao wakubwa ambao mara zote huwa pamoja na mgambo, polisi na…