Dk Nchimbi amtembelea Makamu wa Rais Mstaafu Dk Gharib Bilal
JamhuriComments Off on Dk Nchimbi amtembelea Makamu wa Rais Mstaafu Dk Gharib Bilal
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amtembelea na kumjulia hali, Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal, katika makazi yake Masaki Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 02 Januari 2026.