Dkt. Samia akipunga bendera kuashiria kuanza kutumika rasmi kwa Daraja la JP Magufuli
JamhuriComments Off on Dkt. Samia akipunga bendera kuashiria kuanza kutumika rasmi kwa Daraja la JP Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipunga bendera kuashiria kuanza kutumika rasmi kwa Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) lenye urefu wa km 3.0 pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa km 1.66 mkoani Mwanza.