Familia ya aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na wenye Ulemavu), Hayati William Vangimembe Lukuvi, ikiwa kwenye Misa takatifu ya kumuombea Marehemu katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, tarehe 28 Machi, 2026