Mapokezi ya Dk Nchimbi katika Uwanja wa Dutwa Jimbo la Busega
JamhuriComments Off on Mapokezi ya Dk Nchimbi katika Uwanja wa Dutwa Jimbo la Busega
Mapokezi ya Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk Emmanuel Nchimbi katika Uwanja wa Dutwa eneo la Mkula Jimbo la Busega, mkoani Simiyu leo Septemba 1, 2025.