Matukio mbalimbali kwenye sherehe za ufunguzi wa Daraja la JP Magufuli
JamhuriComments Off on Matukio mbalimbali kwenye sherehe za ufunguzi wa Daraja la JP Magufuli
Matukio mbalimbali kwenye sherehe za ufunguzi wa Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) lenye urefu wa km 3.0 pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa km 1.66 katika eneo la Chuo cha ufundi Kalwande, Kigongo wilayani Misungwi mkoani Mwanza tarehe 19 Juni, 2025.