Naibu Waziri Mwanaidi Aki Khamis achukua fomu kugombea ubunge Viti Maalum
JamhuriComments Off on Naibu Waziri Mwanaidi Aki Khamis achukua fomu kugombea ubunge Viti Maalum
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis, amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia Vyuo Vikuu katika Mkoa wa Kusini Unguja.