Latest Posts
Waziri Aweso akagua ujenzi ofisi za RUWASA, agawa magari 19
Na Meleka Kulwa, Dodoma Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, amekagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) na kukabidhi magari 19 kwa ajili ya ofisi za makao makuu na wilaya mbalimbali nchini. Akizungumza mara…
STAMICO watoa mafunzo kwa wazalishaji chumvi Lindi na Mtwara
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwa kushirikiana na Chama cha Wazalishaji wa Chumvi Tanzania (TASPA) limeendesha Mafunzo ya Kimkakati kwa Wazalishaji wa Chumvi kwa Mikoa ya Lindi na Mtwara. Mafunzo haya yamefanyika Ruangwa Mkoani Lindi Leo tarehe 12 Juni…
Maafisa habari mikoa watakiwa kuitangaza programu ya kizazi chenye usawa
Na WMJJWM- Dodoma Maafisa Habari wa Mikoa wametakiwa kuitangaza kwa nguvu Programu ya Kizazi Chenye Usawa ili kusaidia utekelezaji wa haki na usawa wa kiuchumi nchini. Wito huo umetolewa leo, Juni 12, 2025, jijini Dodoma na Kaimu Katibu Mkuu wa…
Msiache kutenda haki, jamii salama inawategemea – Naibu Katibu Mkuu Mdemu
Na WMJJWM, Tabora Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu amewataka waratibu wa Madawati ya Jinsia maeneo ya Umma kuwajibika na kutenda haki ili kuwa na jamii salama isiyo na vitendo vya…
Dk Mwigulu: Trilioni 56.49/- kutekeleza bajeti 2025/36
Na Saidina Msangi, WF, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), anamewasilisha Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali, ambapo ameliomba Bunge ridhaa ya kukusanya na kutumia jumla ya shilingi trilioni 56.49 kwa Mwaka wa Fedha 2025/26. Dkt….