JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

‘Bajeti Kuu ya Serikali kuwezesha nishati safi kupikia na wanawake’

Na Mwandishi Wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefungua Mkutano wa Nishati Safi ya Kupikia Barani Afrika unaofanyika katika Makao Makuu ya UNESCO jijini Paris, Ufaransa tarehe 14 Mei, 2024. Katika hotuba yake ya ufunguzi…

FCS, TradeMark Afrika wakubaliana kuboresha mazingira wezeshi ya kibiashara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Foundation for Civil Society (FCS) na TradeMark Africa wamesaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa kuboresha mazingira wezeshi na jumuishi ya kibiashara kuhakikisha wanawake, vijana na watu wenye ulemavu wanajumuishwa kikamilifu katika uendeshaji…

Sisi ACT- Wazalendo tumeichambua bajeti Wizara ya Afya, bado kuna tatizo la ufinyu wa bajeti – Dk Sanga

Waziri wa Afya Ummy Ali Mwalimu (Mb.), amewasilisha Bungeni mpango wa Wizara na makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2024/25 pamoja na maeneo ya kipaumbele ambayo wizara itajielekeza nayo kwa mwaka 2024 -2025. Sisi, ACT Wazalendo kupitia…

Bondia Sherif Lawal afariki baada ya kupigwa ngumi nzito

Bondia Sherif Lawal (29) amefariki dunia akiwa hospitali akipatiwa matibabu baada ya kupigwa ngumi iliyomuangusha chini katika pambano lake dhidi ya bondia kutoka Ureno Malam Varela, lililochezwa kwenye ukumbi wa Harrow Leisure Center siku ya Jumapili. Katika pambano hilo la…

Watoto 2, 180, 313 wapata chanjo ya Penta3 nchini

Na Mwandishi Wetu, Dodoma SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imefanikisha kutoa chanjo ya Penta3 kwa watoto 2,245,722 ndani ya kipindi cha mwezi Julai 2023 hadi Machi 2024. Waziri wa Afya Mheshimiwa Ummy Mwalimu amesema hayo Bungeni jijini Dodoma Mei 13,…