Latest Posts
SMZ kushirikiana na GEL kupeleka wanafunzi nje ya nchi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar SMZ imesema itaendesha msako na kuzifutia usajili wa wakala wa elimu ya nje ambao wanafanya kazi zao kwa ubabaishaji na kuipongeza Global Education Link GEL kwa mchango mkubwa inaotoa kwenye sekta…
CTI na wanachama wajadili utitiri wa tozo
Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Dar es Salaam MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, shule Kuu ya Biashara (UDBS), Patrolik Kanje, ameshauri utitiri wa tozo za mamlaka ya udhibiti zipunguzwe ili kuwapunguzia mzigo wazalishaji wa bidhaa nchini. Alitoa ushauri…
Tanzania yaongoza kikao cha wataalamu Afrika kuhusu nishati safi ya kupikia
Na Mwandishi Wetu Tanzania imeongoza kikao cha wataalamu kutoka mataifa mbalimbali barani Afrika kujadili kuhusu vipaumbele vya sera katika masuala ya nishati safi ya kupikia ili kuja na azimio litakalopitishwa na wakuu wa nchi husika barani humo. Kikao hicho kimefanyika…
Serikali yatoa kibali cha ajira mpya 13187 Wizara ya Afya
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema katika kukabiliana na changamoto ya sasa ya uhaba wa Watumishi, Serikali imetoa kibali cha kuajiri jumla ya Watumishi 13,187 katika Sekta ya Afya huku pia ikichukua hatua ya kutekeleza mwongozo…