JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Madiwani Msalala wampa tano mkurugenzi wa halmashauri hiyo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala, limempongeza mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Khamis Katimba kwa utekelezaji wa miradi ya maendeleo, ukusanyaji wa mapato, ustawi wa wananchi na uboreshaji wa utawala bora. Kwa niaba…

Madereva walioweka magari ving’ora bila kibali waviondoe haraka – Deceli

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Dawati la elimu ya usalama barabarani Tanzania Kamishina Msaidizi wa Polisi, Michael Deceli , ametoa rai kwa madereva walioweka magari yao ving’ora pasipo kuwa na kibali cha Waziri wa Mambo ya Ndani ya…

DAWASA yapewa kongole matumizi ya mifumo ya manunuzi kielektroniki

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Godfrey Mnzava ameipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kwa kutekeleza agizo la Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan la kutangaza…

Serikali yaongoza mazishi ya aliyeshiriki tukio la kuchanganya udongo

Serikali imesema itaendelea kuuthamini na kuuenzi mchango wa wazee walioshiriki katika tukio la kihistoria la kuchanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis wakati akitoa…

Mawasiliano ya barabara Dar – Lindi kurejea leo, Somanga sasa panapitika – Bashungwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa anaendelea kuisimamia timu ya wataalam na Makandarasi kurejesha mawasiliano ya barabara ya Lindi – Dar es Salaam ambapo tayari eneo la somanga limeanza kupitika na amesisitiza kuwa ifikapo kesho leo…

Dk Ndungulule kugombea nafasi ya ukurugenzi WHO Ukanda wa Afrika

Na Magrethy Katengu JamuhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imemteua aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Afya Dkt Faustine Ndugulile kugombea nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la afya Duniani (WHO) Ukanda wa Afrika kwenda kuiwakilisha nchi…