Latest Posts
Mwenyekiti Taifa ACt – Wazalendo akamilisha ziara yake Kigoma
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha @ACTwazalendo, Othmasoud Masoud leo Mei 08, 2024, amekamilisha ziara yake katika Mkoa wa Kigoma, ambayo imejumuisha Harakati za Kisiasa na Kijamii ikiwemo Ujenzi wa Chama. Akiagana na Wanachama na Wananchi wa Mkoa huo kuelekea…
Serikali kujenga kituo cha kupoza umeme na Switching Station Songwe – Kapinga
📌 Lengo ni kuimarisha upatikanaji umeme mkoani Songwe 📌 Uboreshaji wa miundombinu ya umeme unaendelea Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme itakayoboresha upatikanaji umeme mkoani Songwe ikiwemo ujenzi wa…
Matukio katika picha, uzinduzi Mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia
Viongozi, wadau na wananchi wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia 2024-2034. Hafla hiyo inafanyika (leo) katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es salaam. Mgeni…
Bodi ya Ushauri ya Watoto Taifa yatakiwa kuwa na umoja- Waziri Pembe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Unguja Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Riziki Pembe Juma ameitaka Bodi ya Ushauri ya Watoto Taifa kuwa na umoja moja katika mapambano ya vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia dhidi ya Wanawake na…
BRELA kuadhimisha Siku ya Miliki Ubunifu Duniani kesho
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umetoa wito kwa wadau mbalimbali zikiweko Taasisi zinazosimamia Masuala ya Miliki Ubunifu kushiriki katika Maadhimisho ya siku ya Miliki Ubunifu Duniani ambayo yanatarajiwa kufanyika kesho…