JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

RC Chalamila apokea Mwenge wa Uhuru 2024, miradi 39 kuzinduliwa

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Mei 08, 2024 amepokea Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoa wa Pwani katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl JK Nyerere Terminal I. Akiongea wakati wa makabidhiano hayo RC Chalamila…

TANROADS Ruvuma yapokea bilioni 2.5 kufanya matengenezo ya barabara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tundururu WAKALA wa barabara (TANROADS)Mkoa wa Ruvuma,umepokea Sh.bilioni 2.5 kati ya Sh.bilioni 6 ilizoomba ili kurejesha miundombinu ya barabara zilizoharibiwa na mvua za masika katika maeneo mbalimbali ya mkoa huo. Hayo yamesemwa jana na Meneja wa…

Bashungwa: Naweza kufukuza timu yote inayoendelea kurejesha mawasiliano ya barabara Dar – Lindi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amesema hatasita kubadilisha timu ya Wataalam na Mkandarasi wanaoendelea na kazi ya kurejesha mawasiliano ya barabara ya Dar es Salaam- Lindi katika eneo la Nangurukuru kutokana na kasi ndogo ya…

Tanzania Top rekodi ; Rostam ameweka alama kubwa nchini

NĂ  Mwandishi Wetu,JamuhuriMedia, Dar ea Salaam UONGOZI wa Tanzania Top Record (TTR), umebainisha kuwa wamejipanga kutembea kilometa moja pekupeku ikiwa ni ishara ya kuenzi viongozi na watu mbalimbali ambao wamepambania taifa na kuacha alama hapa nchini. Hayo yamebainishwa Aprili 7,…

Bilioni 1.1/- za TANROADS zarejesha mawasiliano ya barabara, madaraja El Nino Katavi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) mkoani Katavi imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kufanya kazi ya matengenezo na kurejesha miundombinu ya barabara na madaraja yaliyosombwa na maji ya mafuriko ya mvua kubwa za El-nino zilizonyesha…