Latest Posts
Kiingereza kufundishwa kuanzia darasa la kwanza
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Chato Serikali imeamua kuboresha uelewa wa somo la Kiingereza kuanzia shule za msingi darasa la kwanza badala ya kuanzia darasa la tatu kama hapo awali ili kuwajengea uwezo wanafunzi hao ingali mapema kuelewa somo hilo kwa…
Bajeti ya matengenezo na ukarabati wa barabara, madaraja Dodoma yaongezeka
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Bajeti ya matengenezo na ukarabati wa barabara na madaraja kwa mkoa wa Dodoma imeongezeka kutoka Shilingi bilioni 12.7 mwaka 2020/2021 hadi kufikia Shilingi bilioni 66. 2 mwaka 2023/24. Hayo yameelezwa na Meneja wa TARURA mkoa…
Dugange : Udumavu kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano bado ni tatizo
OR-TAMISEMI Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI anayeshughulikia Afya Mhe. Festo Dugange amesema takwimu zinaonesha kuwa kiwango cha udumavu kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano bado ni kikubwa ambapo kwa mkoa wa Kigoma ni asilimia…
Benki ya Maendeleo, KAWASSO wazindua ujenzi wa nyumba za makazi kwa wamachinga Dar
Na Jumanne Magazi, JakhiriMedia, Dar ex Dalaam Benki ya Maendeleo ikishirikiana na Kariakoo Wamachinga Asociaton (KAWASSO) leo Mei 7 2024, zimezindua Mradi wa Ujenzi na Nyumba za Makazi kwa Wamachinga wa Dar es Salaam wenye thamani ya shilingi milioni 500,…
Nguvu ielekezwe kudhibiti upitishaji dawa za kulevya bandari bubu – Mzava
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa (2024) Godfrey Mzava ,ametoa wito kwa Jeshi la Polisi Mkoani Pwani ,kuongeza nguvu ya doria kwenye bandari bubu zilizopo kwenye fukwe ya Bahari ya Hindi katika ukanda…
Polisi Arusha yawapa tano wananchi waliofanya maboresho ujenzi kituo cha Polisi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha litaendelea kuwashukuru wananchi wanaoendelea kushiriki katika jitihada za Serikali katika kuboresha mazingira bora na ya kisasa katika vituo vya Polisi mkoani humo huku likibainisha kuwa litaendelea kutoa huduma bora…