JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

CCM Zanzibar yamkaribisha babu duni kurejea nyumbani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Chama cha Mapinduzi CCM Zanzibar kimetoa wito kwa Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Juma Duni Haji, kurejea Chama cha Mapinduzi ili kuendelea kulinda heshima yake kwa kazi kubwa aliyoifanya ya kupigania Demokrasia Zanzibar na…

Muhimbili yavuna kipande cha ubavu na kumtengenezea mgonjwa taya jipya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika mwendelezo wa utoaji huduma za kibingwa na ubingwa bobezi unaotokana na kujenga uwezo wa watalaam wazawa chini ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan, Hospitali ya Taifa…

Watuhumiwa sita wa mauaji ya rapa A.K.A wakamatwa

Na Isri Mohamed Ikiwa ni mwaka moja umepita tangu Rapa mkubwa nchini Afrika Kusini, Kiernan Forbes ‘A.K.A’ apigwe risasi na kufariki dunia, Polisi nchini humo wamethibitisha kuwakamata Watuhumiwa sita wa mauaji yake akiwemo ‘Mastermind’ aliyeandaa mpango mzima na kulipa Wauaji…

Kitita kipya NHIF kuanza kutumika Machi 1, wananchi kupata unafuu

na Mwandishi Wetu JanhuriMedia, Dar es Salaam MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umesema maboresho mapya ya Kitita cha Mafao kwa wanachama wake utekelezaji utaanza rasmi Machi 1,2024. Hayo yamebainishwa leo Februari 28,2024 jijini Dar es Salaam na…

Bodaboda wachoma moto basi la Saibaba

Na Isri Mohamed Basi la Kampuni ya Saibaba Express lililokuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea mkoani Arusha limechomwa moto na kundi la bodaboda katika Kata ya Mtonga, Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga baada ya mwenzao kugongwa na basi…