JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Dk Gwajima azindua NMB Kikundi Akaunti yenye Bima ya Maisha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BENKI ya NMB imeitambulisha akaunti mpya ya kidijitali kwa ajili ya vikundi mbalimbali vya kijamii iitwayo ‘NMB Kikundi Account,’ iliyozinduliwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, ambayo inajumuisha…

Kwa mara ya kwanza upasuaji wa kurekebisha valvu ya moyo wafanyika kwa mtu mzima

Kwa mara ya kwanza upasuaji wa kurekebisha valvu za moyo kwa watu wazima umefanyika kwa mgonjwa ambaye valvu yake ya moyo ya upande wa kushoto ilikuwa ikivujisha damu (severe mitral regurgitation). Upasuaji huo umefanywa hivi karibuni na madaktari bingwa wa…

Madaktari bingwa wa Rais Samia watasaidia kupunguza vifo vya watoto wachanga

Na WAF – Iringa Mpango kabambe wa madaktari bingwa wa Dkt. Samia utasaidia kupunguza vifo vya watoto wachanga kwa kuwajengea uwezo watoa huduma wengine katika Hospitali za Halmashauri kwa kuwa dhamira ya Serikali ni kuwa na wodi maalum za watoto…

Waziri Mkuu: Wakuu wa mikoa simamieni utashi wa Rais Samia

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Mikoa nchini waakisi utashi wa kisiasa wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia na kutekeleza mapendekezo yote yaliyotolewa na Tume ya Haki Jinai. “’Utashi wa kisiasa wa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu…

Usahihi wa utabiri wa TMA wafikia asilimia 86, WMO yaiamini yaipa majukumu mazito

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeendelea na utoaji wa huduma, kudhibiti na kuratibu shughuli za hali ya hewa nchini. Hayo yamebainishwa leo bungeni na Waziri wa Uchukuzi Makame Mbarawa wakati akisoma…

Kimbunga Hidaya chaua Lindi, wengine 80 waokolewa

Na Isri MohamedWatu wawili wameripotiwa kufariki dunia na wengine zaidi ya 80 kuokolewa wilayani Kilwa mkoani Lindi baada ya mvua kubwa iliyosababishwa na Kimbunga Hidaya kunyesha Mei 4, 2024 na kusababisha mafuriko. Mbali na kusababisha vifo, pia yamesomba madaraja na…