JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kimbunga Hidaya chapoteza nguvu wakati kikingia Bahari ya Hindi

Aidha, mawingu ya mvua yaliyokuwa yakiambatana na kimbunga hicho yamesambaa katika maeneo ya kusini mwa nchi hususan katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na maeneo jirani na kuweza kusababisha vipindi vya mvua kubwa kwa baadhi ya maeneo. Kwa mafano hadi…

TMA yatoa mwenendo wa kimbunga Hidaya, upepo mkali unazidi km 50 kwa saa watawala

Uwepo wa kimbunga “HIDAYA” karibu kabisa na pwani ya nchi yetu umeendelea kutawala mifumo ya hali ya hewa katika maeneo hayo, ambapo katika kipindi cha masaa 6 yaliyopita, vipindi vya mvua kubwa na upepo mkali vimeendelea kujitokeza. Mfano katika vituo…

Tanzania yapendekeza kuanzishwa kwa vituo viwili vya umahiri kwa nchi za Afrika Mashariki

Serikali kupitia Wizara ya Afya imetoa mapendekezo kwa Baraza la Mawaziri wa Kisekta wa Afya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) lipitishe maombi ya Tanzania kuanzisha vituo viwili vya umahiri kwa Afrika Mashariki vitakavyotoa huduma za Afya ya Kinywa na…

Mzava : Uzalishaji makaa ya mawe kuleta mapinduzi ya uhifadhi wa mazingira

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kisarawe KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Godfrey Mzava, amelitaka Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kuongeza kasi ya utekelezaji wa ujenzi wa mradi wa kiwanda cha makaa ya mawe, kata ya Visegese wilayani…

Kamati ya Bunge yaimwagia sifa NIRC kutekeleza vizuri miradi ya umwagiliaji

Yampongeza Mkurugenzi Mkuu Mndolwa, yamtia moyo achape kazi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MAKAMU Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Kilimo, imeipongeza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), kwa kazi kubwa inayoifanya katika kufanikisha Kilimo…

Kimbunga Hidaya chazidi kusogea Tanzania, Serikali yatoa tahadhari

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia Waziri wa nchi, ofisi ya waziri mkuu, sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama amewataka wananchi wote wanaojihusisha na shughuli mbalimbali baharini kuchukua tahadhari kubw kutokana na kimbunga Hidaya ambacho tayari kimeshaingia Mashariki kwa Pwani ya Tanzania….