Latest Posts
NIT yawataka vijana kuchangamkia fursa masomo ya kimkakati
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chuo cha Taifa Usafirishaji (NIT), kimetoa wito kwa vijana waliohitimu kidato cha nne kuchangamkia fursa ya kuomba kujiunga kozi za kimkakati za Chuo ambazo katika mwaka wa masomo wa 2024/2025 zimepata upendeleo wa…
Wakala wa Forodha mbaroni kwa tuhuma kumuua rafiki yake na kumwibia milioni 61/-
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia Dar es Salaam Mtu mmoja ajulikanaye kwa jina la Mussa Khamis Bakari maarufu ‘buda ‘ (30) , Wakala wa Forodha, mkazi wa Temeke anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za mauaji ya Abdallah Twahir Selemani…
Pinda amrejeshea nyumba bibi aliyoihangaikia kwa zaidi ya miaka 10 Kigoma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Geophrey Pinda amemrejeshea nyumba Leticia Benedict Choma mwenye umri wa zaidi ya miaka 80 mkazi wa Kigoma Ujiji baada ya kuihangaikia kwa zaidi ya miaka 10…
UDSM, OSLO ilivyodhamiria kupunguza mtanziko katika utoaji huduma za afya nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya KATIKA mfumo wa afya wa Tanzania, watoa huduma za afya wanakutana na changamoto nyingi za kimaadili wakati wa kufanya maamuzi ya kutibu wagonjwa. Changamoto hizi, ambazo mara nyingi huleta mitanziko (dilemma), zinaweza kusababisha vifo kwa…
Mashindano ya Gofu ya kumuenzi Lina Nkya kuendelea leo Arusha
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baada ya Morogoro mwezi Aprili mwaka huu sasa ni zamu ya Arusha katika viwanja vya Gymkana ambapo mashindano ya Gofu kwa ajili ya kumuenzi mchezaji wa zamanı wa timu ya taifa ya wanawake…
UDOM yawakaribisha wadau kushirikiana kutengeneza tiba lishe
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Profesa Lughano Kusiluka, ametoa wito kwa wadau mbalimbali kushirikiana na chuo hicho ili kuweza kutengeneza tiba lishe zitakazosaidia kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza. Aidha Profesa Kusiluka…





