JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

PAC yaipongoza e-Ga kwa ubunifu,usanifu na utengenezaji mifumo ya TEHAMA yenye tija

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma KAMATI ya Bunge ya Kudumu ya Hesabu za Serikali (PAC), imeipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa kuendeleza tafiti na bunifu zinazochagiza usanifu na utengenezaji wa mifumo ya TEHAMA inayoleta tija kwa taifa. Pongezi hizo zimetolewa na…

Rais Samia kuongoza mazishi ya Lowassa Februari 17

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuongoza Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa yanayotarajiwa kufanyika Wilayani Monduli mkoani Arusha Jumamosi Februari 17, 2024. Awali Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alitangaza siku tano…

Lowassa, mwanasiasa aliyekuwa na ndoto ya kuwa Rais Tanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Edward Lowassa ni Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania aliyehudumu katika nafasi hiyo kati ya Desemba 30, 2005 na Februari 7, 2008 wakati wa uongozi wa awamu ya nne wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Lowassa alizaliwa…

Dk Mpango atoa maelekezo kwa wizara za ardhi na ulinzi

Na Mwandish Wetu, JamhuriMedia, Arusha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Isdori Mpango ameielekeza Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na ile ya Ulinzi kwenda eneo la Oldonyosambu lilipo wilaya ya Arumeru mkoa…

Rais Mwinyi amlilia Lowassa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2005 – 2008 Mhe. Edward Ngoyai Lowassa kilichotokea…

Eng.Sanga awafunda watumishi wa ardhi nchini

●Awataka kuwa wasuluhishi wa migogoro na sio chanzo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga amewaasa watumishi wa Sekta ya Ardhi kote Nchini kujiepusha na tabia ya kuwa chanzo…