JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Polisi Mbeya wapiga ‘stop’ maandamano

Jeshi la Polisi linapenda kutoa taarifa kwa umma kuhusiana na kuwepo kwa mipango ya viongozi wa chama cha siasa nchini [CHADEMA] kuhamasisha vijana kote nchini kukusanyika Mkoa wa Mbeya Agosti 12, 2024 kwa lengo la kufanya maandamano na mikusanyiko kwa…

Kusiluka : Vijana ingieni kwenye mfumo wa uchumi kidijitali

Serikali itakazana kuona kwamba Tanzania inapotekeleza Mkakati wa Uchumi wa Kidijiti (2024-2034) vijana wengi waweze kuingia kwenye mifumo wa kidijitali ili wao wawe sehemu ya uchumi wa dunia wa kidijitali ambao unajengwa sasa. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi,…

Vyuo vya afya valia gharama za mafunzo kwa vitendo

Na Daniel Limbe,Jamhuri Media,Geita UAMUZI wa Mabaraza ya madiwani kupanga gharama za mafunzo ya vitendo kwa wanafunzi wa vyuo vya Afya,umetajwa kuwa mzigo mzito kwa uendeshaji wa taasisi hizo kutokana na baadhi ya wanafunzi kushindwa kumudu gharama hizo. Changamoto hiyo…

Serikali kuchangia Bilioni 5 kuimarisha shughuli za ushirika

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Samia Suluhu Hassan amekutana na Maafisa Ugani pamoja na Wanaushirika ambapo katika mkutano huo, amesisitiza umuhimu wa kuimarisha huduma za ugani ili kuboresha uzalishaji wa kilimo na kuongeza tija…

Ofisi ya Msajili, PSSSF, WCF waingia ubia kumiliki kiwanda cha chai Mponde

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Ofisi ya Msajili wa Hazina kwa kushirikiana na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), pamoja na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), wameingia ubia wa kumiliki Kiwanda Cha Chai cha Mponde…