JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Biteko mgeni rasmi mkutano wa kitaalaum wa makatibu mahsusi Tanzania

Mkutano wa Kumi na Moja wa Kitaaluma wa Makatibu Mahsusi Tanzania unafanyika leo, Mei 23, 2024 katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Mgeni rasmi ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko. Mkutano huo ulioanza…

11 wafariki baada ya mtambo Kiwanda cha Mtibwa Sugar kulipuka

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Watu 11 wamefariki Dunia na wengine wawili kujeruhiwa baada kutokea kwa hitilafu kwenye mtambo wa mvuke wa kuzalisha umeme katika Kiwanda cha kuzalisha Sukari Mtibwa Sugar kilichopo Tuliani Wilayani Mvomero Mkoa wa Morogoro. Kamanda wa…

RC Ruvuma : Mfumo wa stakabadhi ghalani umedhibiti vipimo visivyo halali

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Namtumbo MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed amefungua masoko ya ufuta,soya na mbaazi kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani na TMX wilayani Namtumbo. Katika uzinduzi wa mnada wa kwanza mkoani Ruvuma katika zao la…

Waziri Mkuu wa Chad ajiuzulu baada ya mshindi wa kura kuthibitishwa

Waziri Mkuu wa Chad Succes Masra ametangaza kuwasilisha barua yake ya kujiuzulu Jumatano, ikiwa wiki kadhaa zimepita baada ya kushindwa na Mkuu wa Serikali ya Kijeshi Jenerali Mahamat Idriss Deby katika uchaguzi wa rais uliofanyika Mei 6, mwaka huu. Masra…

TANROADS yaweka kambi kurejesha mawasiliano barabara ya Tingi -Kipatimo Lindi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Wakala ya Barabara Tanzania (Tanroads) mkoa wa Lindi imeweka kambi ili kuhakikisha unarejesha mawasiliano katika barabara ya Tingi hadi Kipatimo wilayani Kilwa ambayo iliathiriwa na mvua za El-Nino na kimbunga Hidaya. Kwa pamoja majanga hayo…

Mwiba uliomkwama mtoto kwenye koo waondolewa na madaktari bingwa wa Samia

WAF – Tanga Jopp  la madaktari bingwa wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan waliokita kambi kwenye Hospitali ya Jiji la Tanga iliyopo Kata ya Masiwani wamefanya upasuaji wa kuondoa mwiba uliokwama kwenye koo la mtoto mdogo wa mwaka mmoja na…