Je, umemdhamini mtu kuchukua mkopo na mali yako inataka kuuzwa?
Ni kawaida mali za wadhamini kutaka kuuzwa au kuuzwa pale waliowadhamini wanaposhindwa kurejesha mikopo. Huwa inauma, kwa sababu wakati mwingine mdhamini hakufaidika na mkopo, ila tu aliamua kumsaidia ndugu, rafiki, jamaa ili akope, asonge mbele, ila baadaye inakuja kuwa hivyo. Suala la msingi huwa ni kujua nini la kufanya hasa kama wewe ni mdhamini na…