Muhtasari wa kitabu cha Rais Mkapa

Mtoto Benjamin William Mkapa, alifundishwa kupika chakula na mama mzazi, Stephania, akiwa mdogo.  Alipokwenda shuleni hapo kijijini Lupaso, Ndanda na hatimaye St. Francis Pugu na Makerere, alifundishwa kupika, kufinyanga, kubuni na kuchambua mawazo na kuyaweka sawa kama msomi mbunifu na mwandishi.  Kitabu hiki ni zao la mpishi wa mawazo mahiri aliyebobea. Ni kitabu cha kurasa…

Read More

Jiulize maswali kila asubuhi

Unapoamka asubuhi kutoka kitandani unajiuliza swali gani?  Unapomsikia jogoo akiwika alfajiri unajiuliza nini? Je, kila asubuhi unajiuliza kuhusu hatima ya maisha yako?   Kila asubuhi imebeba  ujumbe wa maisha yako.  Kila asubuhi Mungu anakuambia: “Nimekuamsha  salama mwanangu mpendwa. Ninakupenda  sana.  Fanya kazi kwa bidii.” Kila asubuhi imebeba mafanikio yako. Mwandishi  wa kale aitwaye Anon anasema:…

Read More

HATUPANGI KUSHINDWA, TUNASHINDWA KUPANGA (6)

Fursa hazipotezi muda zikikutana na wale ambao hawajajiandaa, zinapita.  Fursa ikikutana na maandalizi kwa pamoja vinazaa bahati. “Nitajiandaa na siku moja fursa yangu itakuja,” alisema Abraham Lincoln. Kutojiandaa ni kuharibu furaha ya kesho, kutojiandaa ni kujiandaa kuyapa mgongo mafanikio.  “Kwa kushindwa kujiandaa, unajiandaa kushindwa,” alisema Benjamin Franklin. Kujiandaa kunatangulia mafanikio. Kuna mambo ambayo yanawafanya watu…

Read More

Wachezaji Stars mjiongeze

Leo Taifa Stars itakuwa Stade Mustapha Ben Jannet uliopo mjini Monastir, Tunisia, kuivaa Libya katika mchezo wa kufuzu kuwania kushiriki fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika. Huu ni mchezo wa pili, katika mchezo wa awali dhidi ya Equatorial Guinea uliopigwa mwishoni mwa wiki, Stars iliondoka na ushindi wa mabao 2-1. Haukuwa ushindi mwepesi, kwani…

Read More

Wanaswa uhujumu uchumi

Kikosi Kazi maalumu kilichoundwa na Ofisi ya Waziri Mkuu kimebaini ukwepaji kodi unaokisiwa kufikia Sh bilioni 10 katika kampuni sita za bilionea Mmarekani, Friedkin, zinazojihusisha na sekta ya utalii nchini, JAMHURI linathibitisha. Kwa tuhuma hizo, wakurugenzi wa kampuni hiyo wanakabiliwa na uwezekano wa kufunguliwa mashitaka ya uhujumu uchumi, ingawa hawajakamatwa kama serikali inavyofanya kwa wakwepa…

Read More