Latest Posts
TFS kuendelea kuwachukulia hatua wanajihusisha na ujangili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wakala ya Huduma za Misitu Tanzania (TFS) inaendelea kuwachukulia hatua wale wote watakaojihusisha na unajangili wa mazao ya misitu kwa kuwafikisha mahakamani kwa mujibu wa Sheria. Haya yamebainishwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,…
Rais Samia asaini miswada minne kuwa sheria za uchaguzi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameidhinisha miswada ya sheria minne ili iweze kuwa sheria. Akilitaraifu Bunge la 12 Mkutano wa 15 mjini Dodoma leo , Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson amesema katika mkutano wa…
Serikali ina matumaini makubwa na Simba, Yanga kufuzu CAF
Serikali imesema ina matumaini makubwa na timu za Yanga na Simba katika michezo yao ya marudiano Ligi ya Mabingwa Afrika itakayofanyika Ijumaa wiki hii. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo na Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamisi Mwinjuma na…
Tetemeko la ardhi lenye nguvu zaidi katika miaka 25 laikumba Taiwan
Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.4 katika kipimo cha Richter lilitokea kwenye pwani ya mashariki ya Taiwan siku ya Jumatano, na kutoa tahadhari ya tsunami katika kisiwa hicho na nchi jirani. Chanzo cha tetemeko hilo kinapatikana takriban 18km (maili…
TRA yakusanya trilioni 6.63 robo tatu mwaka wa fedha 2023/24
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2023 /24 imefanikiwa kukusanya kiasi cha Shillingi Trilioni 6.63 sawa na ufanisi wa asilimia 95.17 ya lengo la…
TARURA Kagera yafungua barabara mpya Km. 826
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Kagera imefanikiwa kufungua mtandao wa barabara mpya wa Km. 826 katika kipindi cha miaka mitatu kutokana na ongezeko la bajeti. Hayo yamebainishwa na Meneja wa…