Latest Posts
WAMACU yajipanga kuwakomboa wakulima zao la mahindi 2024/2025
Na Helena Magabe, JamhuriMedia, Tarime Chama Kikuu cha Wakulima Mara Cooperative Union (WAMACU), kimewakumbuka wakulilima wa zao la mahindi hii ni kufatia kuwepo na soko duni la zao hilo ambalo ni moja ya mazao ya biashara yanayozalishwa Mkoani Mara ….
Nyumba 30 Majohe zabomolewa usiku, wakazi walala nje, Chalamila atoa agizo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ameagiza kukamatwa kwa watu waliovunja makazi ya watu zaidi 30 nyakati za usiku eneo la Majoe Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam RC…
e-GA kuunganisha Taasisi za Umma Kidijitali
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao(e-GA)Mhandisi Benedict Ndomba amesema Mamlaka hiyo inaendeleakutekekeza agizo la Serikali la kuhakikisha mifumo ya TEHAMA katika Taasisi za umma zinasomana kwa kuuganishwa na kubadilishana taarifa kidijitali. Katika kutekeleza hilo amesema,Mamlaka imefanikiwa…
Balozi Polepole kushirikiana na JKCI kuboresha matibabu ya moyo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humphrey Polepole amesema kuwa atashirikiana na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kuhakikisha Watanzania wanaendelea kupata huduma bora za matibabu ya moyo. Mhe. Balozi Polepole ameyasema hayo leo jijini…
Polisi Arusha wajipanga ulinzi Sikukuu ya Krisimas na mwaka mpya
Na Abel Paul, Jeshi la Polisi- Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema kuwa kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama linaendelea kuimarisha ulinzi ambapo limebainisha kuelekea sikukuu za krismasi na mwaka mpya litahakikisha sikukuu hizo zinasherekewa…
Viongozi wa umma watakiwa kuwasilisha matamko ya rasilimali, madeni
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Zikiwa zimebaki siku 10 ifike terehe ya mwisho kwa viongozi wa umma kuwasilisha tamko la rasilimali na madeni kwa Kamishna wa Maadili, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imewataka viongozi wote wa umma kuzingatia matakwa ya…