JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tulia : Majeruhi wa mafuriko Hanang wote wametibiwa Manyara bila rufaa

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson ameipongeza Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa uboreshaji wa huduma za afya nchini na kufanya majeruhi wote wa mafuriko ya Hanang kupata huduma Mkoani Manyara bila kupewa rufaa….

Karakama ATCL yapunguza gharama za matengenezo ya ndege

Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi David Kihenzile akitoa maelekezo kwa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) wakati alipotembelea karakana ya ndege inayomilikiwa na Shirika hilo iliyopo katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro Mkoani Kilimanjaro. Serikali imesema uwepo wa…

Mafuriko Kilosa yasababisha mtu moja kufariki, kaya zaidi ya 150 zakosa makazi

Mtu mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 60 Idd Abdalah amefarikia dunia kwa kuburuzwa na maji huku Kaya zaidi ya 150 katika Kata ya Mvumi na Ludewa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro zikikosa makazi baada ya nyumba zao kujaa…

Waziri Majaliwa : Serikali inatoa huduma bure waathirika wa maporomoko Hanang

Na Paschal Dotto, JamhuriMedia, MAELEZO- Hanang Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaendelea kutoa huduma muhimu katika maeneo yote yaliyoathiriwa na kuporomoka kwa udongo katika eneo la Katesh Wilayani Hanang mkoani Manyara. Akizungumza katika mkutano wa Wananchi, Waziri Mkuu,…

Benki ya NMB yasaidia waathirika wa mafuriko Hanang

Waathirika wa mafuriko Wilayani Hanang, Mkoani Manyara, waliopoteza ndugu zao, makazi, pamoja na mali, wamepatiwa misaada ya kibinadamu na Benki ya NMB. Misaada hiyo inajumuisha magodoro, vyakula na vifaa vingine, ikiwa lengo ni kutoa msaada muhimu baada ya janga hilo….

Taswira mbalimbali za athari za mafuriko ya matope na mawe Katesh na Hanang

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel akiongozana na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Tumaini Nagu, Mkurugenzi wa Huduma za Kinga Wizara ya Afya Dkt. Ntuli Kapologwe pamoja na Timu ya Wataalam wamefanya tathmini ya anga kuona athari ya mafuriko…