JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Matokeo ya sensa ya wanyamapori na ripoti ya watalii wakimataifa ya 2023 kuweka hadharani

Na Mwandishi Wetu, JakmburiMedia, Arusha Serikali ya Tanzania kupitia wizara ya Maliasili na Utalii inatarajiwa kesho tarehe 22.04. 2024 kutangaza rasmi matokeo ya sensa ya wanyamapori, Pamoja na kuzindua ripoti ya Watalii wa Kimataifa walioitembelea nchini kwa mwaka 2023. Utangazaji…

SwissAid : Serikaki iangalie kwa jicho la upendeleo suala la kilimo hai na kuunga mkono

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SHIRIKA la SwissAid Tanzania limesema ili nchi kuwa na kizazi chenye afya na ardhi bora inayofaa kwa kilimo kwa siku zijazo ni muhimu kuwekeza katika kilimo hai ambacho kinazalisha mazao safi na salama. Aidha, SwissAid…

Wanafunzi CBE waonyesha vipaji lukuki siku ya taaluma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kinakusudia kuanzisha mafunzo ya uanagenzi kwa wanafunzi wanaosoma shahada ya masuala ya benki na fedha, metrolojia na viwango, ambayo yatawawezesha kusoma huku wakifanyakazi. Akizungumza katika siku ya…

Dk Biteko amwakilisa Rais Samia kwenye mazishi ya Mkuu wa Majeshi Kenya

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko, amewasili jioni ya tarehe 20 Aprili 2024, Jijini Nairobi, Kenya kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa…

Goodwill na Sapphire yakabidhi misaada kwa waathirika wa mafuriko Rufiji, Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JanhuriMedia, Pwani KIWANDA cha marumaru cha Goodwill pamoja na kiwanda cha kutengeneza vioo cha Sapphire -Mkiu , Mkuranga Mkoa wa Pwani ,kimetoa misaada mbalimbali kwa ajili ya waathirika wa mafuriko Rufiji . Kati ya misaada hiyo ni…

Nchimbi awataka wana-CCM kuacha nongwa za uchaguzi Songea

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt.Emmanuel Nchimbi amewataka Wana CCM kuacha nongwa za uchaguzi bali washirikiane katika kukijenga chama na kuwaletea wananchi maendeleo. Hayo ameyasema jana kwenye kikao cha Halmashauri kuu ya…