Latest Posts
Mhagama afurahishwa ubora wa shamba la kahawa la Aviv Tanzania Limitd Ruvuma
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Jenista Magama amesema kuwa nchi inahitaji uwekezaji zaidi wa mashamba makubwa ili kufungua fursa ya ajira kupitia kilimo kama ilivyokuwa kwa shamba kubwa la kahawa…
Watu 604 wamepata huduma za upimaji moyo wakati wa maadhimisho Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Watu 604 wamepata huduma za upimaji na matibabu ya moyo wakati wa maadhimisho ya siku ya moyo duniani yaliyofanyika katika Hospitali ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group iliyopo Temeke jijini…
TASWA yapongeza uteuzi wa Mobhare Matinyi
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), kinampongeza Mobhare Matinyi kwa kuaminiwa na kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali. Uteuzi wa Matinyi aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa TASWA, umefanywa jana Oktoba Mosi,…
REA kutoa mikopo ujenzi vituo vya mafuta vijijini
Lilian Lundo na Veronica Simba, JamhuriMedia, Geita Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekuja na mpango wa kutoa mikopo midogo kwa ajili ya kujenga vituo vya mafuta vidogo vidogo vijijini ili kuzuia ajali za moto zinazotokana na kuuza mafuta ya Petroli…
AGRF kutoa Trilioni 1.2 kuimarisha sekta ya mifugo, uvuvi na kilimo
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma SERIKALI inatarajia kupata sh.trilioni 1.2 kutoka kwa wadau mbalimbali kwa lengo la kuimarisha sekta ya mifugo, uvuvi na kilimo. Fedha hizo zimepatikaa kupitia Mkutano Mkuu wa Mifumo ya Chakula ya Afrika (AGRF) uliofanyika Septemba, mwaka huu,…
Jukwaa la Wahariri lapongeza uteuzi wa Mobhare Matinyi kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali
Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia Jukwau la Wahuriri Tanzunia (TEF) limepokea kwa furaha uteuzi wa Mobhare Matinyi kuwa Mkurugenzi wa ldara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali. Pia TEF inampongeza kwa uteuzi huo wa Oktoba 1, 2023. Kwa mujibu…