JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Maadhimisho miaka 47 ya CCM, mbunge Cherehani atoa madawati 975 ya mil.63.3/-

Na Mathias Canal, JamhuriMedia, Ushetu-Kahama Mbunge wa Jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani kupitia Ofisi ya mbunge ametoa madawati 975 yenye thamani ya Shilingi 63,375,000 ili kuimarisha sekta ya elimu ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanafunzi wanakuwa na mazingira mazuri ya…

Rais Hage Geingob wa Namibia afariki

Rais wa Namibia Hage Geingob amefariki dunia wakati akipata matibabu hospitalini katika mji mkuu, Windhoek. Makamu wa Rais Nangolo Mbumba ametangaza kuwa Geingob amefariki Jumapili alfajiri. “Mkewe Monica Geingos na wanawe walikuwa karibu naye,” Mbumba amesema katika taarifa yake. Kiongozi…