JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

CBE yaanza kufundisha Shahada za Umahiri mtandaoni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeanza kutoa Shahada za Umahiri kwa njia ya mtandao kwa fani sita njia ambayo imeanza kuchangamkiwa na wasomi wengi kutokana na kuwa nafuu kulinganisha na kusoma darasani. Hayo yamesemwa…

DCEA yatangaza kiama kwa wazalishaji, wauzaji na wasafirishaji dawa za kulevya

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma MAMALAKA ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya (DCEA) kupitia oparesheni zake mbalimbali imebaini watoto wengi waliocha shule na waliotelekezwa mitaani ndiyo wengi wanaotumika kwenye magendo ya kusafirisha dawa za kulevya kwenye maeneo mbalimbali…

Polisi watoa ufafanuzi kupotea baba, mtoto Geita, kuchunguza waliopotea

Na Abel Paul,Jeshi la Polisi, Dodoma Jeshi la Polisi nchini limetoa ufafanuzi wa taarifa iliyo ripotiwa katika baadhi ya vyombo vya Habari ambayo ilikuwa na kichwa cha habari kisemacho, kashfa Polisi yahusishwa na kutekwa kwa Baba na mwanawe. Akitoa taarifa…

Serikali yatangaza fursa kwa wadau wa TEHAMA

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari kwa kushirikiana na Washauri elekezi wa Chuo Kikuu cha Hanyang cha Korea wamefungua rasmi maandalizi ya ujenzi wa Chuo cha TEHAMA Dodoma ambacho kitakuwa na uwezo wa kudahili wanafunzi…