Latest Posts
Majaliwa awatwisha mzigo MADC usimamizi wa mashine EFD pamoja na mabaraza ya biashara
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ,ametoa agizo kwa wakuu wa wilaya nchini kuhakikisha wanashirikiana na mamlaka ya mapato (TRA) kusimamia na kufanya ukaguzi wa mashine za EFD endapo ni halisi na sio za maghumashi ili kuepusha…
Asilimia 77.3 ya Vijiji Kagera vyaunganishwa na umeme wa REA
Na Lilian Lundo na Veronica Simba, JamhuriMedia, Kagera Vijiji 512 kati ya Vijiji 662 vya Mkoa wa Kagera ambayo ni sawa na asilimia 77.3 ya vijiji vya mkoa huo vimepata huduma ya umeme kupitia miradi ya Wakala wa Nishati Vijijini…
Mbunge Prof. Muhongo na wadau wafanikisha harambee ujenzi wa Etaro sekondari kisiwa cha Rukuba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Musoma Vijijini MBUNGE wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof. Sosepter Muhongo kwa kushirikiana na viongozi wakiwemo wakuu wa Wilaya ya Musoma na Halmashauri yake (Musoma DC), waemeendesha harambee ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Etaro, ambayo…
Wananchi Momba, Songwe waipongeza TARURA kwa ujenzi wa barabara Ikana – Iyendwa-Namchika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Momba Wanachi wa Wilaya ya Momba mkoani Songwe wameeleza kufurahishwa kwao na ujenzi wa Barabara ya Ikana – Iyendwa – Namchika yenye urefu wa kilomita 33 ambapo hapo awali ilikuwa haipitiki na kusababisha adha kubwa ya…