Latest Posts
Dk Nhimbi alakiwa kwa shangwe na mkutano mkubwa Ubaruku, Mbarali
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amepokelewa kwa shangwe na nderemo na wananchi wa Mbarali, wakiongozwa na vijana waendesha bodaboda, baada ya kuwasili na msafara wake katika Kata ya Ubaruku, Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya,…
Miaka miwili ya filamu ya Royal Tour, mabalozi wampa tano Rais Samia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ngorongoro Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi za Ujerumani, Ufaransa na Ubelgiji wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa juhudi za kutangaza utalii wa Tanzania zilizopelekea kuendelea kuongeza idadi ya…
Miaka 60 ya Muungano, Tanzania yang’ara uongozi wa Taasisi za Kikanda na Kimataifa
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Katika kipindi cha utekelezaji wa miaka 60 ya Muungano, Tanzania imefanikiwa kutoa viongozi mahiri kuongoza taasisi za kikanda na kimataifa ikiwa ni ishara ya kuaminiwa na mataifa mengine. Baadhi ya nafasi ambazo Tanzania imeongoza ni uteuzi wa…
Dk Biteko: Bwawa la Umeme la Julius Nyerere liko salama
📌 Asema limepunguza athari za mafuriko 📌 Atoa pole kwa waathirika wa mafuriko Rufiji 📌 Aeleza jitihada za Serikali kwa waathirika 📌 Azungumzia umuhimu wa Nishati Safi ya Kupikia, Bei ya Gesi. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri Mkuu…
Nchi za SADC zampongeza Rais Samia kwa maono yake katika usimamizi wa misitu ya miombo
Nchi wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Southern African Development Community-SADC) zimempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maono yake katika usimamizi na uhifadhi wa misitu miombo hasa katika kuhama…





