JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

‘Redio na runinga 38 duniani zinarusha matangazo kwa lugha ya kiswahili ‘

Eleuteri Mangi, WUSM, Zanzibar Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdullah amewataka Wahariri kushirikiana na mabaraza ya Kiswahili ya BAKITA na BAKIZA ili kuendeleza lugha ya Kiswahili. Amesema kuwa lugha ya Kiswahili imevuka…

Wahariri watakiwa kulinda lugha ya kiswahili kuepuka upotoshaji

Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah amewataka wahariri kuzingatia matumizi sahihi ya lugha ya Kiswahili ili kukikuza zaidi duniani. Hayo ameyabainisha leo Julai 4, 2023 wakati akifunguwa kongamano lililowakutanisha wahariri wa habari kutoka Tanzania Bara na Visiwani…

Raid Dkt.Samia awataka wana Mbarali kuenzi mazuri ya mbunge wao

RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka Wana-Mbarali wamuombee na kuenzi mazuri yote aliyofanya enzi za uhai wake aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbarali, Mhe. Francis Mtega. Hayo yamesemwa leo (Jumanne, Julai 4, 2023) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipoongoza waombolezaji…

Serikali: Watu 70 hufariki kila siku kwa uhonjwa kigua kikuu Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Arusha Watu 70 hufariki kila siku nchini Tanzania kutokana na Ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB) na watu 25,800 hufariki kila mwaka kutokana na ugonjwa huo hapa nchini. Hayo yameelezwa leo na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu…

Serikali yasaini mikataba mitatu yenye thamani ya Bilioni 455.09 kutoka EU

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan ameshuhudia hafla ya utiaji saini mikataba mitatu ya makubaliano yenye thamani ya Euro 179.35 milioni sawa na shilingi za kitanzania bilioni 455.09 msaada uliotolewa na…