Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
July 16, 2024
MCHANGANYIKO
Rais Samia afungua Barabara ya Sumbawanga, Matai-Kasanga Rukwa
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia afungua Barabara ya Sumbawanga, Matai-Kasanga Rukwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria ufunguzi wa barabara ya Sumbawanga-Matai- Kasanga (km107) iliyojengwa kwa kiwango cha lami. Hafla ya ufunguzi wa barabara hiyo imefanyika Matai Wilayani Kalambo Mkoani Rukwa tarehe 16 Julai, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria ufunguzi wa barabara ya Sumbawanga-Matai- Kasanga (km107) iliyojengwa kwa kiwango cha lami. Hafla ya ufunguzi wa barabara hiyo imefanyika katika eneo la Matai Wilayani Kalambo Mkoani Rukwa tarehe 16 Julai, 2024.
Taswira ya Barabara ya Sumbawanga- Matai-Kasanga (km107) iliyojengwa na kukamilika kwa kiwango cha lami
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Matai katika Wilaya ya Kalambo Mkoani Rukwa mara baada ya kufungua barabara ya Sumbawanga- Matai-Kasanga (km107), tarehe 16 Julai, 2024.
default
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua Barabara ya Sumbawanga-Matai-Kasanga (km107) iliyojengwa na kukamilika kwa kiwango cha lami katika eneo la Matai tarehe 16 Julai, 2024.
Wananchi wa Matai, Kalambo Mkoani Rukwa wakiwa kwenye mkutano wa hadhara pamoja na hafla ya ufunguzi wa Barabara ya Sumbawanga-Matai-Kasanga (km107) iliyojengwa na kukamilika kwa kiwango cha lami katika eneo la Matai tarehe 16 Julai, 2024.
Post Views:
447
Previous Post
Trump amchagua JD Vance kama mgombea mwenza wake
Next Post
Matembezi ya utulivu rasmi kufanyika Julai 20
Rais wa Sierra Leone kutua Dar leo
Wakuu wa nchi 25 kushiriki mkutano wa nishati Afrika
JK aipa PPAA changamoto kuokoa fedha za Serikaki katika miradi
Baraza la wafanyakazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu lakutana
Kampeni ya ‘Ubungo usiku kama mchana’ yazinduliwa
Habari mpya
Rais wa Sierra Leone kutua Dar leo
Wakuu wa nchi 25 kushiriki mkutano wa nishati Afrika
JK aipa PPAA changamoto kuokoa fedha za Serikaki katika miradi
Baraza la wafanyakazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu lakutana
Kampeni ya ‘Ubungo usiku kama mchana’ yazinduliwa
JKCI yazidi kutanua wigo wa huduma za matibabu nchini
Watatu mbaroni kwa wizi mtoto wa miezi saba, wakutwa msituni
Bashe ahimiza ushirikiano kati ya Tume ya Umwagiliaji na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri
Waziri Kombo akutana na Waziri wa Uchukuzi wa Czech
Polisi Arusha wapewa pikipiki 20 kuimarisha usalama
Tanzania, UN tourism zasaini makubaliano ya kongamano la kimataifa la utalii wa vyakula barani Afrika
Maelfu watakiwa kuhama baada ya moto mpya kuzuka Marekani
Marekani yaahidi kuunga mkono Serikali ya Israel
ZEEA yaanza kutoa mikopo kidijitali, maafisa washauriwa kuwa makini
Wasira awashukia waliopora ardhi ya vijiji