Latest Posts
Majaliwa azindua mfumo wa kielektroniki wa kuhudumia wawekezaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita itaendelea kutenga fedha kwa ajili ya kuimarisha mifumo na miuondombinu ya mifumo ili kuboresha ufanisi wa utoaji huduma, utendaji kazi na kupunguza urasimu unaokwamisha utekelezaji wa…
Kyogo awafunda maofisa wanafunzi awapata mbinu ya kupunguza malalamiko katika jamii
Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi – Dar es Salaam Jeshi la Polisi kupitia Kamisheni ya Polisi Jamii Dawati la Ushirikishwaji wa jamii Makao Makuu ya Jeshi la Polisi imetoa mafunzo kwa kundi la maofisa na Wakaguzi Wasaidizi wa…
Tanzania kunufaika na uwekezaji eneo la Sinotan Industrial Park
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaSerikali kupitia Wizara ya Wizara ya Mipango na Uwekezaji kuhakikisha wanaendelea kuweka mazingira mazuri ya kufanyabiashara na uwekezaji ili kusaidia Tanzania kukua kiuchumi. Kuhusu uwekezaji katika eneo la Sinotan amesema wanatarajia kuona uwekezaji huo utakuwa na faida…
TARURA Morogoro yaendelea kuziboresha barabara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Manispaa ya Morogoro inaendelea na matengenezo ya barabara ili wananchi waweze kusafiri kwa urahisi. Hayo yameelezwa na Meneja wa TARURA Wilaya ya Morogoro Mhandisi Mohamed Muanda alipokuwa…
Serikali ilivyodhamiria kuwarejesha faru weusi Kusini
Na Albano Midelo, JamhuriSongea Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imedhamiria kuona idadi ya faru Weusi inaongezeka kwa asilimia tano kila mwaka. Mratibu wa Faru kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii Philibert Ngoti amesema hadi kufikia Aprili 2023,idadi ya…
Damu salama Kanda ya Mashariki yatoa kadi kielektroniki 96
Na Mwandishi Wetu, JanhuriMedia MPANGO wa Taifa wa Damu Salama kupitia Kanda ya Mashariki inayojumuisha Mikoa ya Dar Es Salaam, Pwani na Morogoro imekabidhi kadi za Kielektroniki kwa wachangiaji vinara zaidi ya 96. Tukio hilo la kipekee lililofanyika mapema Septemba…