JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tuzo za ZIFF 2023 kutolewa leo

Na Andrew Chale, JamburiMedia, Zanzibar WAZIRI wa Nchi Ofisi wa Makamu wa pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi Hamza Hassan Juma anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika usiku wa tuzo za Tamasha la Filamu la Kimataifa la Nchi…

NMB ya kwanza kusajili usajli wanachamaa Yanga

Kwa kutambua umuhimu wa sekta ya michezo nchini, leo @nmbtanzania imeingia makubaliano na timu ya @yangasc na kuwa Benki ya kwanza nchini kuwawezesha mashabiki na wanachama wa Yanga kupata kadi za uanachama kupitia matawi yote ya NMB yaliyoenea nchi nzima….

Majaliwa:Mafuta ya Kaskazini, kanda ya ziwa yachukuliwe Tanga

Wazuri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Nishati iratibu ununuzi wa mafuta kutoka mikoa ya Kaskazini na Kanda ya Ziwa ili yachukuliwe kutokea Tanga badala ya Dar es Salaam. Ametoa agizo hilo leo (Jumamosi, Julai Mosi, 2023) mara baada ya…

Mpango afungua wiki ya maadhimisho ya JKT

……….………………. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Jeshi la Kujenga Taifa kuhakikisha wanafanya uwekezaji zaidi katika kufundisha vijana matumizi ya teknolojia katika shughuli zake mbalimbali za uzalishaji mali na utoaji…