JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Prof.Lumumba awataka wasanii vijana kutumia Jukwaa la ZIFF katika ubunifu wa filamu

Na Andrew Chale, JamhuriMedia, Zanzibar. MWANAMAJINUNI wa Afrika, Profesa Patric Loch Otieno Lumumba ambaye pia akifahamika kama Prof. PLO Lumumba ametoa rai kwa sanii Vijana wa Afrika hususani Afrika Mashariki kutumia jukwaa la tamasha la Nchi za Jahazi (ZIFF) katika…

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Eliezer Feleshi atoa maneno mazito mjadala wa DP World

* Achambua mkataba kati ya Dubai na Tanzania kipengele kwa kipengele * Apangua upotoshaji wa bandari kuuzwa, mkataba wa miaka 100 au maisha * Aonya kuhusu madhara ya kubagua wawekezaji kutoka nchi fulan * Asisitiza kuwa mpaka sasa TPA haijaingia…

Wakulima wapewa elimu ya usawa wa kijinsia

Na Rahma Khamis, JamhuriMedia, MAELEZO Wajasiriamali wa kilimo cha mboga mboga mboga na matunda wametakiwa kushiriki katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo ili kujikwamua kiuchumi. Akizungumza wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwelewa wakulima wa viungo mboga mboga na matunda kuhusiana na…

Serikali yawatahadharisha wananchi Iringa kutembea usiku

Serikali imewatahadharisha Wananchi Mkoani Iringa kuacha kutembea usiku ili kuepukana na madhara ya kuvamiwa na Simba walioingia katika makazi ya watu. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) ameyasema hayo leo jijini Dodoma alipokuwa akijibu swali la…

Wahariri wapewa mafunzo ya sheria na kanuni za ulinzi kwa watoa taarifa na mashahidi

………………………………………………………………………………………………………………………………….. Na Lusajo Mwakabuku,JamhuriMedia,Singida Wizara ya Katiba na Sheria imeendesha mafunzo kwa wahariri na wanahabari waandamizi wa vyombo mbalimbali vya habari juu ya Sheria ya kuwalinda Watoa Taarifa za Uhalifu na Ulinzi wa Mashahidi, Sura ya 446 (The Whistleblower and…

Rais Samia aitaka jamii iwajibike katika malezi ya watoto

Na Mwandishi wetu JAMHURI MEDIA, Arusha. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu ametoa wito kwa wazazi, walezi pamoja na jamii kuwajibika katika kufuatilia mienendo ya watoto ili kubaini mabadiliko hasi ya kitabia yanapojitokeza. Rais Samia amesema hayo…