Latest Posts
Tanzania na SOS kushirikiana katika mikakati ya malezi na ustawi wa mtoto
Na WMJJWM, Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa kushirikiana na Shirika la SOS Children’s Villages wamekubaliana kuendelea kuwekeza katika mikakati ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto ili…
Rais Samia: Serikali imetenga hekta 60,000 kwa kilimo cha umwagiliaji mpunga Rufiji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Serikali imetenga eneo la ukubwa wa hekta 60,000 kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji wa zao la mpunga katika wilaya ya Rufiji mkoani Pwani. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan…
Mradi wa kutibu maji taka wazinduliwa Nzega
Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Abdallah Shaib Kaim amezindua mradi wa ‘Bwawa la Kutibu Maji taka’ uliotekelezwa na serikali kupitia Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Nzega (NZUWASA) kwa gharama…
Waziri Kairuki aitaka TAWA kuongeza ukusanyaji mapato
Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki (Mb) ameitaka menejimenti ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) kuhakikisha inaongeza makusanyo yake ya mapato ya ndani zaidi ya lengo iliyojiwekea la kukusanya shilingi…