Latest Posts
Waziri Mkuu ashiriki zoezi la upandaji miti Dodoma
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 27, 2026 ameshiriki zoezi la upandaji miti, mbele ya ofisi ya Waziri Mkuu Mlimwa Jijini Dodoma. Zoezi hilo ni sehemu ya hatua ya kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt….
Watu bilioni 3.8 kukumbana na joto kali ifikapo 2050
Wanasayansi wameonya leo kwamba karibu watu bilioni 3.8 duniani, huenda wakakabiliwa na joto kali zaidi ifikapo mwaka 2050 huku nchi za ukanda wa Tropiki zikitarajiwa kuathirika zaidi. Wanasayasni wameonya leo kwamba karibu watu bilioni 3.8 duniani, huenda wakakabiliwa na joto…
Adaiwa kumchoma kisu mkewe baada ya kubaini akitumia dawa za ARV kwa kificho
Na Crecensia Kapinga, JamhuriMedia, Ruvuma Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linamshikilia mwanaume mmoja kwa tuhuma za kumjeruhi mke wake (majina yamehifadhiwa) kwa kumchoma na kisu tumboni upande wa kushoto hadi utumbo kutoka nje baada ya kugundua kuwa mkewe alikuwa akitumia…
Afariki kwa kung’atwa na mamba wakati akioga usiku wilayani Nyasa
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea MWANAMKE mmoja Catherine Kinyongile (56) mkazi wa kijiji cha Ndonga kilichopo katika Wilaya ya Nyasa Mkoa wa Ruvuma amefariki dunia baada ya kukamatwa na mamba wakati akioga katika eneo la fukwe la forodha ya Hyetu…





