JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais kuongoza Watanzania kupokea ndege mpya ya mizigo

Serikali inatarajia kupokea ndege ya kwanza ya kusafirisha mizigo aina ya Boeing 767 -300 mnamo tarehe tatu Juni itakayokwenda kutatua changamoto za usafirishaji wa mizigo kwa wafanyabiashara nchini. Akizungumza na Waandishi wa habari leo Juni 1,2023 Jijini Dar es Salaam,…

Majaliwa: Rais Samia Dkt.Samia atoa vibali ajira sekta ya afya

Na Lilian Lundo, JamhuriMedia-MAELEZO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa vibali kwa Wizara ya Afya na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuajiri watumishi wa sekta ya afya ili kuwapeleka katika zahanati, vituo vya afya…

Serikali kutumia trilioni 4.20 ujenzi vituo vya kupoza umeme kila wilaya

Na Jacquiline Mrisho, JamhuriMedia- MAELEZO Mradi wa Ujenzi wa Vituo vya Kupoza Umeme katika kila wilaya nchini unakadiriwa kutumia jumla ya shilingi trilioni 4.20 ambazo zitatolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Makadirio…

Serikali yathibitisha visa 64 vya UVIKO -19

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali imesema katika kipindi cha kuanzia Aprili 22 hadi Mei 26,2023 jumla ya visa vipya 64 vilithibitika kuwa na maambukizi ya UVIKO -19 ikilinganishwa na visa vipya 45 vilivyothibitika wiki nne zilizopita,idadi hii ni sawa na…

Jaji Makungu ateuliwa kuwa Jaji Mahakama ya Afrika Mashariki

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia Jaji wa Mahakama ya Rufani ya Tanzania, Omar Othman Makungu ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki, Divisheni ya Rufani. Uteuzi huo ambao umefanyika mjini Bujumbura, Burundi katika Mkutano wa Marais wa Nchi…

Jafo: Athari za mazingira zimesababisha mfumuko wa bei

……………………………………………………………….. Imeelezwa athari za kimazingira nchini zimechangia  kupanda kwa bei ya vyakula ikiwemo unga wa mahindi kutoka na kukosekana kwa mvua na hata maeneo ilikonyesha ilikuwa ni chini ya wastani. Hayo yameelezwa leo Juni 1,2023 jijini Dodoma na Waziri wa Nchi…