Latest Posts
Diamond ampa pole Rais Dk Mwinyi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amepokea salamu za pole kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Wasafi, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond Platinumz’ kufuatia kifo cha baba yake…
Makamba azindua kamati maalum ya kukiimarisha Chuo cha Kimataifa cha Kidiplomasia
Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, January Makamba amezindua kamati maalum itakayosimamia na kushughulikia chuo Cha uhusiano wa kimataifa Diplomasia cha Salim Ahmed Salim. Akizungumza na waandishi wa habari jijini…
Miaka mitatu ya Rais Samia ilivyoleta usawa kwenye uwanja wa siasa
Na Dk Ruben Lumbagala, JamhuriMedia Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ametimiza miaka mitatu ya uongozi wake tangu alipoapishwa rasmi Machi 19, 2021 kuwa Rais wa Tanzania kufuatia kifo cha Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dk. John Magufuli kilichotokea Machi…
Serikali yaongeza Tahasusi (Combination) mpya 49
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imeongeza Tahasusi (Combination) mpya 49, kutoka 16 zilizokuwepo awali hadi kufikia Tahasusi 65. Tahasusi hizo mpya zitakazoanza kutekelezwa Julai, 2024…
Manyara kuchunguzwa ubadhilifu fedha za miradi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Babati Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeielekeza Ofisi ya Rais – TAMISEMI kufanya, ufuatiliaji na uchunguzi wa fedha walizopeleka kutekeleza miradi katika mkoa wa Manyara hasa katika miradi ya…
Tanzania, Uholanzi, China kushirikiana mazao ya mbogamboga
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Gerald Mweli amesema Serikali ya Tanzania, China na Uholanzi zitaendelea kushirikiana kukiendeleza Kituo cha Taasisi ya Utafiti na Uendelezaji wa Mazao ya Mbogamboga Duniani cha World Vegetable Centre ili kukidhi mahitaji ya wakulima. Mweli…





