JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Fedha za kulipa deni la serikali zaongezeka kutoka Tril 9.1 hadi Tril 10.4

Serikali imeongeza fedha kwa ajili ya kulipa madeni kutoka Sh9.1 trilioni mwaka 2022/23 hadi Sh10.4 trilioni kwa mwaka 2023/24. Hayo yamesemwa leo Juni 7, 2023 na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na…

FIFA:Yanga walistahili ushindi pia, CAF angalieni upya goli la ugenini

Na mwandishi Wetu Jamhuri Media Rais wa Shirikisho la Mpira wa miguu  Duniani (FIFA) amelitaka Shirikisho la Mpira wa miguu Barani Afrika (CAF) kuangalia upya kanuni la goli la ugenini kwa kuwa linaunyima uhalali wa usawa wa point na usawa…

TPA yakanusha upotoshaji, yafafanua ujio wa DP World Tanzania

Na Mwandishi wetu Jmhuri Media Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) baada ya taarifa zilizosambaa kuhusu bandari ya Dar es Salaam kutaifishwa huku imewataka Watanzania kupuuza taarifa za upotoshaji huo zinazodai kwamba serikali imepanga kuipa kampuni ya DP World…

Serikali yaagiza waliovamia Ranchi ya Zanzibar Bagamoyo kuondoka haraka

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Serikali imewaagiza wananchi takriban 5,000 waliovamia Ranchi ya Zanzibar Bagamoyo( RAZABA) ,kuondoka mara moja katika eneo hilo na kuikabidhi Wakala wa Usimamizi wa Misitu Tanzania TFS kulisimamia. Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa…

Mifuko ya plastiki yapigwa marufuku kuingia Muhimbili

Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili umepiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki kwa watoa huduma na ndugu wa wagonjwa katika mazingira ya hospitali (Upanga na Mloganzila) ikiwemo wodini na maeneo mbalimbali ya kutolea huduma. Kwa mujibu wa taarifa kwa…