Latest Posts
Maafisa elimu,kata Kibaha Mji wajengewa uwezo masuala ya VVU,ukatili
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Kibaha Halmashauri ya Mji Kibaha,imeendesha semina ya kuwajengea uwezo maafisa Elimu kata,walimu walimu wa shule za msingi na sekondari juu ya masuala ya VVU/UKIMWI mahala pa kazi kwa lengo la kuondoa unyanyapaa na ukatili wa kijinsia. Siwema Cheru…
DC Nachingwea aamuru madarasa kuvunjwa haraka
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mohamed Hassan Moyo ameamuru kuvunjwa kwa baadhi ya madarasa ya shule ya msingi Majogo katika Kijiji cha Litula, Kata ya Marambo, kutokana na uchakavu wa majengo ya shule hiyo ambayo yanahatarisha maisha…
Jaji kiongozi afungua kongamano la kimataifa la haki miliki
Na Mary Gwera,JamhuriMedia Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania,Mustapher Mohamed Siyani amefungua Kongamano la Kimataifa linalohusu masuala ya Haki Miliki, Alama za Biashara na Usuluhishi wa Migogoro ya Miliki Bunifu ‘Judicial Colloquim on Copyrights, Trademarks and Mediation of IP…
Kanisa Katoliki Geita lafungwa kufuatia tukio la kufuru na unajisi
Kwa masikitiko makubwa na tumaini kubwa kwa Mungu, napenda kuwataarifu kwamba, huduma zote za ki-ibada na ki-Sakramenti katika Kanisa Kuu la Kiaskofu la Jimbo Katoliki la Geita zamesitishwa kuanzia leo tarehe 27 ya Mwezi Februari ya Mwaka wa Bwana 2023….
Madiwani Bagamoyo wapiga marufuku wananchi kulipia gari la wagonjwa kwa 85,000/-
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Bagamoyo Baraza la Madiwani Halmashauri ya Bagamoyo,mkoani Pwani limepiga marufuku ongezeko la malipo ya gari la wagonjwa kwa wateja wanaopata rufaa hospital ya Wilaya ya Bagamoyo kwenda Hospital ya Muhimbili ama Muhas -Mloganzila kwa gharama ya sh.85,000 badala…